Watanzania tubadili mtazamo kuhusu sherehe za X-mass na nwaka mpya!

bombadier

JF-Expert Member
Nov 4, 2016
438
304
Nimekaa, kufuatilia na kutakafari kwa kina juu ya tabia ya watanzania ya kuwa na hamasa ya kusafiri kwa ajili ya masherehe ya x-mass na mwaka mpya kwa adhaa kubwa ya usafiri na risk ya ajari!! Binafsi ninaona kuwa desturi hizi ni ushamba na mazoea yaliyopitwa na wakati na yasiyo na manufaa yoyote zaidi ya urafi,sifa ,ujinga, ufahari na kutostaraabika na yenye athari nyingi kwa jamii kuliko faida!
 
Nikisema wanaoenda Moshi wanataka sifa za kijinga naambiwa nina chuki dhidi ya watu wa Moshi
 
Waambie wengi wao eti ndiyo kipimo cha maendeleo na uchumi kukua eti wakila wakalewa wakavaa nguo mpya siku ya xmass na mwaka mpya ndiyo maisha mazuri
 
Nimekaa, kufuatilia na kutakafari kwa kina juu ya tabia ya watanzania ya kuwa na hamasa ya kusafiri kwa ajili ya masherehe ya x-mass na mwaka mpya kwa adhaa kubwa ya usafiri na risk ya ajari!! Binafsi ninaona kuwa desturi hizi ni ushamba na mazoea yaliyopitwa na wakati na yasiyo na manufaa yoyote zaidi ya urafi,sifa ,ujinga, ufahari na kutostaraabika na yenye athari nyingi kwa jamii kuliko faida!
Sijaona hoja hapa zaid ya kuanika upumbavu wako, kwanza kajifunze kuandika, hivi huko shuleni mlienda kusomea ujinga? @faizafoxxy
 
Inategemea na lengo la safari hizo wanafunzi wanafunga Shule na wengine wanapata likizo kazini hivyo ni kipindi kizuri cha kukutanika na ndugu jamaa na marafiki pia nguo mpya na pilau zinavaliwa na kuliwa kila wakati si Christmas na mwaka mpya pekee
 
KUANDIKA TU KWENYEWE UNASHINDWA....................

SASA YA SIKUKUU ZA WATU UTAYAWEZEA WAPI.

Acha UNOKO!
 
KUANDIKA TU KWENYEWE UNASHINDWA....................

SASA YA SIKUKUU ZA WATU UTAYAWEZEA WAPI.

Acha UNOKO!
Christmas ni uzushi hata viongozi wa dini hawaijui historia yake na hata kwenye bible hakuna hicho kitu, jiulize miti ina uhusiano gani na Christmas ambayo ni siku ya kuzaliwa kwa yesu? Miti ni ibada ya kipagani, wapagani ndo walipelekea hii Christmas kuwepo kupitia RC Church maana wao walikua wakiabudu miti baada ya kujiunga RC ukafanyika ujanja ujanja kuweka hii siku and nothing else.
Watanzania tunafuata mkumbo tu hata hatujui tunachosheherekea.
 
Pamoja na hisia zako zote hizo bado huna ruhusa ya kuingilia imani na sikukuu za watu uwezo ulionao wewe ni kuamua kuhusu maisha yako.

Hivyo basi ya watu waachie wenyewe.
 
nachukia sana kusafiri kipindi cha sikukuu.
xmas niliacha kuisherehekea muda mrefu baada ya kutambua tar 25 december kuwa inahusishwa na dini ya kipagan huko Roma.
Ila tuwaache wengine waendelee
 
Naona huna kwenu! Ungekuwa una kwenu ungejua umuhimu wa kipindi hiki ndo ndugu hukaa pamoja
 
Christmas ni uzushi hata viongozi wa dini hawaijui historia yake na hata kwenye bible hakuna hicho kitu, jiulize miti ina uhusiano gani na Christmas ambayo ni siku ya kuzaliwa kwa yesu? Miti ni ibada ya kipagani, wapagani ndo walipelekea hii Christmas kuwepo kupitia RC Church maana wao walikua wakiabudu miti baada ya kujiunga RC ukafanyika ujanja ujanja kuweka hii siku and nothing else.
Watanzania tunafuata mkumbo tu hata hatujui tunachosheherekea.
Lakini hata wazungu wanahabudu hii sikukuu na kusherekea kwa nguvu zote.
 
Back
Top Bottom