thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,256
- 9,085
Wakati Serikali inatangaza suala la usajili wa laini za simu kwa alama za vidole (biometric) wengi walipuuzia wakijua ni nguvu ya soda, wakiamini serikali haiko serious.
Pia wapo walioamini kwamba muda ni mrefu hivyo hawakua na haraka yoyote, Waliendelea na majukumu yao mengine japo kuna wakati walipata muda wa ziada kutekeleza jambo hilo,ispokua hawakuona umuhimu wake.
Wapo wengine waliona umuhimu wa kufanya jambo hilo na walilitekeleza mapema sana kukwepa usumbufu huu unaojitokeza kwa sasa.waliwahi mapema. kuweka taarifa zao sahihi sehemu husika,ukiacha wale ambao uhamiaji waliwatilia shaka uraia wao.
Na ifahamike kwamba wengi wameanza kumuelewa Rais Magufuli anamanisha ya kile anachokisema.
Ndio maana baada ya yeye kusajili kwa alama za vidole na kutoa tamko lake la kuongeza siku 20 ,hapo ndipo baadhi yetu tukashituka kujifunika shuka kukiwa kumekucha.
Zipo changamoto mbalimbali upande wa wadau wote kwa maana ya wananchi, NIDA na idara ya uhamiaji katika kutimiza majukumu yao hili sipingani nalo.
Sidhani toka tangazo litoke kama ulikua serious ndani ya miezi mitatu kuweka taarifa zako sahihi uhamiaji na Nida kuhakikisha unasajili laini biometric dhahama hii ingekukuta,japo kuna wengine baadhi si makosa yao bali ni idara husika kukwamisha zoezi hili.
hapa naongelea wale wazee wa kupuuza.
Niwaombe watanzania muda huwa ni mchache siku zote ,hivyo ni muhimu kuutumia accordingly, tusome alama za nyakati hii ni awamu ya tano ,"it walks the talk"
Mwisho niwape pole wale ambao wanahangaikia namba zao za vitambulisho si kwa makusudi yao ,bali ya uzembe wa wengine.
Na Pia niwakumbushe wale wenzangu na mimi kila kisemwacho wao hu ignore ,mwishoni ndio huanza kuchakalika na kutupa lawama huku na kule wakati walipuuza zoezi.
Rais Magufuli kaongeza muda wa kusajili biometric mara mbili,je ataongeza mara ya tatu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia wapo walioamini kwamba muda ni mrefu hivyo hawakua na haraka yoyote, Waliendelea na majukumu yao mengine japo kuna wakati walipata muda wa ziada kutekeleza jambo hilo,ispokua hawakuona umuhimu wake.
Wapo wengine waliona umuhimu wa kufanya jambo hilo na walilitekeleza mapema sana kukwepa usumbufu huu unaojitokeza kwa sasa.waliwahi mapema. kuweka taarifa zao sahihi sehemu husika,ukiacha wale ambao uhamiaji waliwatilia shaka uraia wao.
Na ifahamike kwamba wengi wameanza kumuelewa Rais Magufuli anamanisha ya kile anachokisema.
Ndio maana baada ya yeye kusajili kwa alama za vidole na kutoa tamko lake la kuongeza siku 20 ,hapo ndipo baadhi yetu tukashituka kujifunika shuka kukiwa kumekucha.
Zipo changamoto mbalimbali upande wa wadau wote kwa maana ya wananchi, NIDA na idara ya uhamiaji katika kutimiza majukumu yao hili sipingani nalo.
Sidhani toka tangazo litoke kama ulikua serious ndani ya miezi mitatu kuweka taarifa zako sahihi uhamiaji na Nida kuhakikisha unasajili laini biometric dhahama hii ingekukuta,japo kuna wengine baadhi si makosa yao bali ni idara husika kukwamisha zoezi hili.
hapa naongelea wale wazee wa kupuuza.
Niwaombe watanzania muda huwa ni mchache siku zote ,hivyo ni muhimu kuutumia accordingly, tusome alama za nyakati hii ni awamu ya tano ,"it walks the talk"
Mwisho niwape pole wale ambao wanahangaikia namba zao za vitambulisho si kwa makusudi yao ,bali ya uzembe wa wengine.
Na Pia niwakumbushe wale wenzangu na mimi kila kisemwacho wao hu ignore ,mwishoni ndio huanza kuchakalika na kutupa lawama huku na kule wakati walipuuza zoezi.
Rais Magufuli kaongeza muda wa kusajili biometric mara mbili,je ataongeza mara ya tatu?
Sent using Jamii Forums mobile app