Watanzania tuacheni upumbavu! Huyu Banda kama anajua ulaya hawamuoni?

Wakati mwingine kuna ujinga na upumbavu unaletwa na mihemko hasa ya wachambuzi wa michezo ambao mimi sijawahi kuwaekewa kabisa hapa nchini.

Hizi sifa za Banda ni kama zimetiwa chumvi mno. Kama kweli angekuwa na uwezo unaoimbwa leo, kwa nini vilabu tajiri vya Ulaya, Uarabuni, South Afrika hawajamuona? Tuacheni kuwa obsessed na mchezaji mmoja kwa sifa za kizushi zilizopitiliza.

Miqueison alikuwa mchezaji bora sana binafsi nadiriki kusema ni moja ya wachezaji adimu sana kwenye soka.

Lakini hawa wachambuzi wanaotuhadaa na Banda.. Banda ..walimuona wa kawaida sana.Hata walipokuwa wakitaja wachezaji wao bora ilikuwa nadra kusikia akitajwa.Leo hii anahitajika na club tajiri inayoujua mpira.Baada ya yeye kwenda ndipo utasikia sifa zinamimika sana.

Watanzania tumekuwa wapumbavu sana linapokuja suala la soka.
Kuna timu inasajili mwonekano wa kimpira na si uwezo wa kucheza.Wakiona mchezaji anatengeneza nywele tu iwe bleach au dreads anasajiliwa kwa sifa zote.Mwisho wa siku wanakuja kulia na tff.

Tuacheni maneno maneno,hasa ninyi wachambuzi maandazi.Kama mlikuwa hamumuelewi Miqueison mnawezaje kuelewa mchezaji mzuri?

Nyie msioelewa ubora wa Morrison mnawezaje kuona mchezaji mzuri?
Nyie mnaobeza wachezaji kama Chama,Bwalya,Mugalu,Boko,na wengine wengi wa Simba mnawezaje kuona wachezaji wazuri?

Nyie mlioshindwa kuona intellect ya Carlinno mnawezaje kuona mchezaji bora?
Nyie mnaoona Ninja ni beki bora tunawaaminije kuwa mnajua kuona vipaji vya wachezaji bora?
Pole sana kak.. nahisi hii ni baada yakutambulishwa MAKAMBO badala ya Fundi Banda .
 
Wakati mwingine kuna ujinga na upumbavu unaletwa na mihemko hasa ya wachambuzi wa michezo ambao mimi sijawahi kuwaekewa kabisa hapa nchini.

Hizi sifa za Banda ni kama zimetiwa chumvi mno. Kama kweli angekuwa na uwezo unaoimbwa leo, kwa nini vilabu tajiri vya Ulaya, Uarabuni, South Afrika hawajamuona? Tuacheni kuwa obsessed na mchezaji mmoja kwa sifa za kizushi zilizopitiliza.

Miqueison alikuwa mchezaji bora sana binafsi nadiriki kusema ni moja ya wachezaji adimu sana kwenye soka.

Lakini hawa wachambuzi wanaotuhadaa na Banda.. Banda ..walimuona wa kawaida sana.Hata walipokuwa wakitaja wachezaji wao bora ilikuwa nadra kusikia akitajwa.Leo hii anahitajika na club tajiri inayoujua mpira.Baada ya yeye kwenda ndipo utasikia sifa zinamimika sana.

Watanzania tumekuwa wapumbavu sana linapokuja suala la soka.
Kuna timu inasajili mwonekano wa kimpira na si uwezo wa kucheza.Wakiona mchezaji anatengeneza nywele tu iwe bleach au dreads anasajiliwa kwa sifa zote.Mwisho wa siku wanakuja kulia na tff.

Tuacheni maneno maneno,hasa ninyi wachambuzi maandazi.Kama mlikuwa hamumuelewi Miqueison mnawezaje kuelewa mchezaji mzuri?

Nyie msioelewa ubora wa Morrison mnawezaje kuona mchezaji mzuri?
Nyie mnaobeza wachezaji kama Chama,Bwalya,Mugalu,Boko,na wengine wengi wa Simba mnawezaje kuona wachezaji wazuri?

Nyie mlioshindwa kuona intellect ya Carlinno mnawezaje kuona mchezaji bora?
Nyie mnaoona Ninja ni beki bora tunawaaminije kuwa mnajua kuona vipaji vya wachezaji bora?
Embu tuanzie kwa ninja apo😎😎😎
 
Uto tulieni dawa iwaingie na bado tumeanza na Banda tunachukuwa Bruno Fernandez
 
Wakati mwingine kuna ujinga na upumbavu unaletwa na mihemko hasa ya wachambuzi wa michezo ambao mimi sijawahi kuwaekewa kabisa hapa nchini.

Hizi sifa za Banda ni kama zimetiwa chumvi mno. Kama kweli angekuwa na uwezo unaoimbwa leo, kwa nini vilabu tajiri vya Ulaya, Uarabuni, South Afrika hawajamuona? Tuacheni kuwa obsessed na mchezaji mmoja kwa sifa za kizushi zilizopitiliza.

Miqueison alikuwa mchezaji bora sana binafsi nadiriki kusema ni moja ya wachezaji adimu sana kwenye soka.

Lakini hawa wachambuzi wanaotuhadaa na Banda.. Banda ..walimuona wa kawaida sana.Hata walipokuwa wakitaja wachezaji wao bora ilikuwa nadra kusikia akitajwa.Leo hii anahitajika na club tajiri inayoujua mpira.Baada ya yeye kwenda ndipo utasikia sifa zinamimika sana.

Watanzania tumekuwa wapumbavu sana linapokuja suala la soka.
Kuna timu inasajili mwonekano wa kimpira na si uwezo wa kucheza.Wakiona mchezaji anatengeneza nywele tu iwe bleach au dreads anasajiliwa kwa sifa zote.Mwisho wa siku wanakuja kulia na tff.

Tuacheni maneno maneno,hasa ninyi wachambuzi maandazi.Kama mlikuwa hamumuelewi Miqueison mnawezaje kuelewa mchezaji mzuri?

Nyie msioelewa ubora wa Morrison mnawezaje kuona mchezaji mzuri?
Nyie mnaobeza wachezaji kama Chama,Bwalya,Mugalu,Boko,na wengine wengi wa Simba mnawezaje kuona wachezaji wazuri?

Nyie mlioshindwa kuona intellect ya Carlinno mnawezaje kuona mchezaji bora?
Nyie mnaoona Ninja ni beki bora tunawaaminije kuwa mnajua kuona vipaji vya wachezaji bora?
Huyu Louis Mikisone unayemuona kifaa akiwa simba, akifika Al ahali atasugua benchi, kwa muda wote hadi aombe kuvunjiwa mkataba kama makambo wa yanga
 
Pole sana kak.. nahisi hii ni baada yakutambulishwa MAKAMBO badala ya Fundi Banda .
Moldova ni nchi ya 177 katika viwango vya fiffa, Moldova ni nchi inayoshika nafasi ya 52 katika nchi 55 kwa viwango vya soka nci za ulaya. Peter Banda ana kazikubwa ya kufanya ili kudhihirisha ubora alionao maana ki uhalisia Ametoka katika nchi ambayo Kiwango Cha soka kwa takwimu Kiko chini Sana kulinganisha na Tanzania
 
Moldova ni nchi ya 177 katika viwango vya fiffa, Moldova ni nchi inayoshika nafasi ya 52 katika nchi 55 kwa viwango vya soka nci za ulaya. Peter Banda ana kazikubwa ya kufanya ili kudhihirisha ubora alionao maana ki uhalisia Ametoka katika nchi ambayo Kiwango Cha soka kwa takwimu Kiko chini Sana kulinganisha na Tanzania
Kimsingi kila mchezaji ana kazi kubwa ya kudhihirisha kipaji chake anaposajiliwa kwenye timu mpya. Na ndio maana wanasema usajili wowote ule ni kamali.
Mchezaji anaweza kutoka ligi ya Ivory Coast na akaenda kuwika EPL, mwingine akatoka La Liga na akaenda kuvurunda kwenye ligi ya Somalia.

Kuwa mzuri ni jambo moja, kuendelea kuwa hivyo ni jambo jingine. Na hii ni kwa wachezaji wote, sio banda peke yake.
 
Banda ni mchezaji mzuri na umri wake bado mdogo. Lakini inawezekana akafanikiwa au asifanikiwe kwenye ligi yetu. Na hiyo ni kawaida kumtokea mchezaji yoyote yule duniani anaweza akawa mzuri kwenye timu A lakini akaenda timu B akawa mbovu mifano ya karibuni tu hapa ni Chikwende na Sarpong. Siku zote duniani kote usajili ni kamari.
 
Banda ni mchezaji mzuri na umri wake bado mdogo. Lakini inawezekana akafanikiwa au asifanikiwe kwenye ligi yetu. Na hiyo ni kawaida kumtokea mchezaji yoyote yule duniani anaweza akawa mzuri kwenye timu A lakini akaenda timu B akawa mbovu mifano ya karibuni tu hapa ni Chikwende na Sarpong. Siku zote duniani kote usajili ni kamari.
Pitia Condom mbili kwa mangi nishalipia kaka.
 
Wakati mwingine kuna ujinga na upumbavu unaletwa na mihemko hasa ya wachambuzi wa michezo ambao mimi sijawahi kuwaekewa kabisa hapa nchini.

Hizi sifa za Banda ni kama zimetiwa chumvi mno. Kama kweli angekuwa na uwezo unaoimbwa leo, kwa nini vilabu tajiri vya Ulaya, Uarabuni, South Afrika hawajamuona? Tuacheni kuwa obsessed na mchezaji mmoja kwa sifa za kizushi zilizopitiliza.

Miqueison alikuwa mchezaji bora sana binafsi nadiriki kusema ni moja ya wachezaji adimu sana kwenye soka.

Lakini hawa wachambuzi wanaotuhadaa na Banda.. Banda ..walimuona wa kawaida sana.Hata walipokuwa wakitaja wachezaji wao bora ilikuwa nadra kusikia akitajwa.Leo hii anahitajika na club tajiri inayoujua mpira.Baada ya yeye kwenda ndipo utasikia sifa zinamimika sana.

Watanzania tumekuwa wapumbavu sana linapokuja suala la soka.
Kuna timu inasajili mwonekano wa kimpira na si uwezo wa kucheza.Wakiona mchezaji anatengeneza nywele tu iwe bleach au dreads anasajiliwa kwa sifa zote.Mwisho wa siku wanakuja kulia na tff.

Tuacheni maneno maneno,hasa ninyi wachambuzi maandazi.Kama mlikuwa hamumuelewi Miqueison mnawezaje kuelewa mchezaji mzuri?

Nyie msioelewa ubora wa Morrison mnawezaje kuona mchezaji mzuri?
Nyie mnaobeza wachezaji kama Chama,Bwalya,Mugalu,Boko,na wengine wengi wa Simba mnawezaje kuona wachezaji wazuri?

Nyie mlioshindwa kuona intellect ya Carlinno mnawezaje kuona mchezaji bora?
Nyie mnaoona Ninja ni beki bora tunawaaminije kuwa mnajua kuona vipaji vya wachezaji bora?
Kwaio hata miq hajui??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom