Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 9,551
- 33,982
Mkuu Tz sahiv magari second-hand ni Bei che sanaaa yanazidiwa gharama Hadi na bajaj na yapo kweny hali nzuri tu , tuliza kichwa vitu vya bei che vilovyo kwenye hali nzuri vipo vingi
Alaf usilalamikie gharama ya mtu kuuza kitu chake hayo ni makubaliano binafs usiporidhika unaachana nae
Alaf usilalamikie gharama ya mtu kuuza kitu chake hayo ni makubaliano binafs usiporidhika unaachana nae