Mtukudzi
Senior Member
- Nov 14, 2013
- 103
- 408
Hivi majimbo ambayo wagombea wa upinzani walishinda kwenye uchaguzi mkuu 2015 na kisha wakajiunga CCM hapakuwepo wagombea wa CCM? Kama CCM ilikuwa na wagombea, wapinzani waliwezaje kushinda? Walishinda kihalali?
Kwa ninayoyaona kwenye clip ya maazimisho ya siku ya wanawake huko Geita nakubali kuwa watanzania siyo wajinga sana bwana.
Yajayo yanatafakarisha!
Kwa ninayoyaona kwenye clip ya maazimisho ya siku ya wanawake huko Geita nakubali kuwa watanzania siyo wajinga sana bwana.
Yajayo yanatafakarisha!