Abel Ndundulu
JF-Expert Member
- Sep 17, 2015
- 845
- 383
Pole sana Juliana Shonza.Nimekuwa nikikufuatilia sana katika safari yako ya Kisiasa.Nakiri kuna wakati nilitaka binti yangu afuate nyayo zako.Ila ulipopotoka na kuwa mjasiliatumbo ndio nikakuona hauna maana kabisa.Kwa sasa anayekufahamu anajua umebeba nembo ya usaliti na kutokuaminika.Hata unayoandika yanaakisi hilo.Nakuahidi CCM itakabidhi nyaraka za uanzishwaji wake kwa msajili baada ya Uchaguzi.Itakuwa imekufa na haitasimama tena!