Kura ni siri ya mtu. Si rahisi kujua kila anachofikiria kila mpiga kura siku ya uchaguzi.Mimi mkuu ntawapigia CDM kura ya huruma, pia ntashawishi nandugu zangu huko kijijini ingawa waliniuliza eti yule alipigwa Lisasi karudi kugombea uraisi, nikawambia ndio wakasema wanamtaka huyohuyo, na watoto wao wasije wakapigwa risasi wanahitaji kiongozi mwenye huruma, alienda watetea watu huko nyamongo waliokuwa wanazikwa huku wakiwa hai.