mkweli1961
Senior Member
- Nov 9, 2010
- 148
- 44
Ndugu zangu Watanzania huu sio wakati wa kulala in wakati wa kuamka na kuikomboa nchi yetu. Nchi inaliwa na wajanja na sisi tunaangalia tunatakiwa tuchukue actions. Hii sio nchi ya kuitwa maskini. Sio lazima tusubiri mwaka 2015. Kwani Tunisia, Misri wananchi waliamua na hatimaye wakafanya kweli. Kila mtu amechoka, Hata hao polisi tunao mitaani nao wamechoka. Yanahitajika mabadiliko ya haraka sana. Tumsaidie Kikwete mzigo unamlemea anahitaji msaada wetu sisi tulio na uchungu na nchi hii. Wana JF MNASEMAJE katika hilo. Naomba kutoa hoja$$$$$$$$$$$$$$$$$$$$$$$$$$$$$$$$$$$$$$