kluger
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 2,093
- 1,894
Salaamu kwenu,
Nimejikuta nikiandika uzi huu mfupi, nikiwa nasikitishwa sana na taabia mbovu na uvivu/utegeaji mkubwa wa vijana wakitanzania katika shughuli mbali mbali za kujiongezea kipato.
Binafsi nina Biashara inayoniingizia kipato na nimeajiri vijana wawili kwa kazi hiyo. Mmoja binti na mwingine mvulana.
Watu hawa wanekuwa kero hasa inapotokea nipo safarini.
Kila ahsubuhi nikuomba udhuru, mara naumwa naomba kwenda hospital, mara nitachelewa kidogo.
Mara naenda kanisani, mara misiba.... na sababu chungumzima. Leo huyu kesho yule.
Wakati wa kuomba kazi wanatia huruma kabisa, wakianza kazi wanaanza mazoea.
Hivi najiuliza watanzania tuna matatizo gani? Japo naamini si wote ila hawa wanawakilisha asilimia kubwa ya tabia zetu.
Ofsn pia naona jinsi watu wanavyofanyakazi kwa mazoea, kuna kundi la wachelewaji na kuwahi kutoka ofsn.
Kuna kundi la wanaowahi ofsn na kuanza kupiga soga, saa mbili mpk saa nne wapo kanteen kwenye chai ️, kusema wenzao wanaochelewa huku wao wakiwahi na hakuna la maana wanalofanya kwa muda mwingi.
Huduma kwa wateja wa nje ni mbovu sana hapa kwetu Tanzania katika sehemu nyingi, mtu anaongea na simu au kuchat huku mbele yake kukiwa na mteja. Katikati ya maongezi na mteja anatokea shosti wanaanza kuongea na kukatiza mazungumzo na mteja mara kwa mara tena story zisizohusiana na kazi.
Mara mtu kanuna bila sababu na hakujui. Unahudumiwa mfano huduma za kifedha, fedha ni zako lakini unahudumiwa kama vile unapatiwa msaada.
Unapiga simu za huduma kwa wateja hazipokelewi!
Najiuliza sana, kwa nini mambo haya!
Inasikitisha sana .
Nimejikuta nikiandika uzi huu mfupi, nikiwa nasikitishwa sana na taabia mbovu na uvivu/utegeaji mkubwa wa vijana wakitanzania katika shughuli mbali mbali za kujiongezea kipato.
Binafsi nina Biashara inayoniingizia kipato na nimeajiri vijana wawili kwa kazi hiyo. Mmoja binti na mwingine mvulana.
Watu hawa wanekuwa kero hasa inapotokea nipo safarini.
Kila ahsubuhi nikuomba udhuru, mara naumwa naomba kwenda hospital, mara nitachelewa kidogo.
Mara naenda kanisani, mara misiba.... na sababu chungumzima. Leo huyu kesho yule.
Wakati wa kuomba kazi wanatia huruma kabisa, wakianza kazi wanaanza mazoea.
Hivi najiuliza watanzania tuna matatizo gani? Japo naamini si wote ila hawa wanawakilisha asilimia kubwa ya tabia zetu.
Ofsn pia naona jinsi watu wanavyofanyakazi kwa mazoea, kuna kundi la wachelewaji na kuwahi kutoka ofsn.
Kuna kundi la wanaowahi ofsn na kuanza kupiga soga, saa mbili mpk saa nne wapo kanteen kwenye chai ️, kusema wenzao wanaochelewa huku wao wakiwahi na hakuna la maana wanalofanya kwa muda mwingi.
Huduma kwa wateja wa nje ni mbovu sana hapa kwetu Tanzania katika sehemu nyingi, mtu anaongea na simu au kuchat huku mbele yake kukiwa na mteja. Katikati ya maongezi na mteja anatokea shosti wanaanza kuongea na kukatiza mazungumzo na mteja mara kwa mara tena story zisizohusiana na kazi.
Mara mtu kanuna bila sababu na hakujui. Unahudumiwa mfano huduma za kifedha, fedha ni zako lakini unahudumiwa kama vile unapatiwa msaada.
Unapiga simu za huduma kwa wateja hazipokelewi!
Najiuliza sana, kwa nini mambo haya!
Inasikitisha sana .