ibesa mau
JF-Expert Member
- Sep 17, 2015
- 2,109
- 1,692
Huu ndio ukweli, tungekuwa uoga huo tumeuelekeza kwenye kuiogopa ngono zembe na uasherati ingekuwa safi sana, maambukizi ya magonjwa ya ngono yasingekuwepo miongoni mwa vijana wetu.
Lakini cha ajabu Ukimwi unamaliza vijana na wala hawonekani kuujali wala kuogopa.
Unaogopa kufa kwenye maandamano halafu unaenda kufa kwa ngoma, halafu demu mwenyewe anayekupa ngoma mbaya bora hata angekuwa demu mwenyewe mkali, sasa si bora ungekufa tu kwenye maandamano ya UKUTA kidogo tungekuita mhanga shujaa.
Na hii imeshuhudiwa juzi tu hapa , jamaa alimwambia kijana mwenzake twende kwenye maandamano wakati wa sakata la UDSM vijana wakawa wanasikika wanaambiana tuende tukaandamane ili tuvunjwe viuno.
Hao ndio vijana wa Kitanzania, wa naogopa kuvunjwa viuno kwenye maandamano lakini hawaogopi kuvunja viuno kwenye vifua vya wadada.
Lakini cha ajabu Ukimwi unamaliza vijana na wala hawonekani kuujali wala kuogopa.
Unaogopa kufa kwenye maandamano halafu unaenda kufa kwa ngoma, halafu demu mwenyewe anayekupa ngoma mbaya bora hata angekuwa demu mwenyewe mkali, sasa si bora ungekufa tu kwenye maandamano ya UKUTA kidogo tungekuita mhanga shujaa.
Na hii imeshuhudiwa juzi tu hapa , jamaa alimwambia kijana mwenzake twende kwenye maandamano wakati wa sakata la UDSM vijana wakawa wanasikika wanaambiana tuende tukaandamane ili tuvunjwe viuno.
Hao ndio vijana wa Kitanzania, wa naogopa kuvunjwa viuno kwenye maandamano lakini hawaogopi kuvunja viuno kwenye vifua vya wadada.