Watanzania ni Kama Bendera Kufuata Upepo

Bonson

Senior Member
Apr 20, 2013
183
147
Wana JF wenzangu,

Watanzania tunaendelea kudhihirisha kwamba tunayumbishwa kirahisi sana. Hata watawala wetu wanalijua hilo na wanalitumia kwelikweli; WA-TZ NI KAMA "BENDERA KUFUATA UPEPO". Nashangaa kwamba mara zote tunakuwa wepesi kuacha jambo moja na kurukia jingine. Hebu angalia sasa humu JF topic inayoendelea kwa zaidi ya wiki mbili ni ZITTO na CHADEMA. Wote tumehama toka kwenye issue ya KAPUYA, HALI YA ELIMU NA VIWANGO VYA UFAULU, KIFO CHA DR. MVUNGI, KATIBA na TEMBO WANAOENDELEA KUANGAMIZWA.

Huu ndio umekuwa mchezo wa Wa-TZ; yani jambo moja likitokea linafuta mengine yote: Nani anazungumzia EPA, DOWANS, MWANGOSI, ULIMBOKA, KIBANDA, AJALI ZA MELI, UDINI NA UKABILA???

Najua santuri ya ZITTO itapita baada ya siku chache halafu litaibuka jingine na wote tutasahau ya ZITTO na CDM.

Tunahitaji kubadilika katika fikra zetu Watanzania.
 
tatizo wa Tz tunapenda kushabikia wanasiasa sio sela ndo mana utakia Zt Zt yani mnaona Zt ndo ajenda ndo mana nchi haiendelei maana hatujadili mambo ya msingi tunakalia mambo yakipuuzi hivi ni mgeni yupi inchin asiyejua usaliti ndo unamuondoa Zt CDM Kama c ukosefu wa kazi jamani wa Tz.
 
Judging from my experience, the press and the quality of contribution here, we mostly revolve around personalities, not policies.

Events, not entrenched elements with causative connotations.

Fleeting fluff, not fundamental formulas.

Gimmicks, not germane granulation.

Hogwash, not heuristic hinges of hourly hacks in hard horsepower.

Simple solutions to Sisyphean struggles.

Top-down tousling to tantalizing troubleshooting.

Yes yeomen to the yellow yielding yokes of ying-yang.

Zany zings, to zealous Zen-like zest.
 
Hii ya ZZK ni kubwa kwani huyu kijana ni salia kuu kuuu litumikalo CCM..! Ni hot news..! We are done with the rest..!
 
SLAA na MBOE wanawafanya watu wa kanda zingine hawana akili,wanafukuza watu alafu wanaitisha uchaguzi!!!
 
si kama bendera kufuata upepo ni bendera hasa, mambo ya msingi hayajadiliwi kwa kina na kutolewa uamuzi, tumekalia politics
 
Back
Top Bottom