Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,631
- 4,225
Hivi huu mchezo wa Kenya kutumia jina la Kilimanjaro ili 'kuuza kwao' utaisha lini?
Hii ni majuzi Waziri Mkuu wa Kenya Mh Raila Odinga akiwa Malaysia....kahawa ni 'Kenya Coffee' lakini
mbona tena hapo juu naona 'Kilimanjaro'?
...ama nd'o ishatoka hii nayo?
Hii ni majuzi Waziri Mkuu wa Kenya Mh Raila Odinga akiwa Malaysia....kahawa ni 'Kenya Coffee' lakini
mbona tena hapo juu naona 'Kilimanjaro'?
...ama nd'o ishatoka hii nayo?