Kuntakinte
JF-Expert Member
- May 26, 2007
- 702
- 28
Jamani wakubwa Heshima zenu!
Kuna kitu mimi sijakipatia jibu maana sielewi kuna umakusudi au watanzani wenye tuu ndio magumashi kwenye suala la kupata Visa.
Majuzi nina jamaa yangu alienda kuomba Visa ya UK kwaajili ya kwenda shule kusoma na kwa jinsi ilivyokuwa na kulingana na muongozo wa British commission requirement jamaa alitimiza kila kitu kilichohitajika na kupeleka pale mishale ya saa 3 asubuhi.
Kwa vile alijaza form Online haikuwa tabu kuingia pale kwa reception na kwenda kufanya submission na kuambiwa arudi saa 8:30 mchana.
Kazi ikaja pale aliporudi na kuona ameandikiwa refusal na huku akihamaki kuona kati ya watu 71 walioomba siku ile ni 4 tuuu ndio waliopata. Sasa kwa mshangao na kutomwamini msela nikajaribu kuuliza kwa watu tofauti na marafiki wakasema hayo ni ya kweli na haya kijiba.
Kwa upande wa pili, inakuwaaje kunakuwa na ugumu sana kwenye Visa ya UK hapa Bongo na nchi kama NIGERIA na GHANA na nyingine kma South Africa wanapata tena bila hata ya migegeseko ya kama Bongo.
Nani mchawi hapa Mwananchi, Wafanyakazi wa British Commission au UK wenyewe hawawataki WATANZANIA?
Naomba msaada wenu ndugu zanguni maana Kuuliza Sio Ujinga wala Ugonjwa? Why? Kwaniniiiiiiiiii?
Kuna kitu mimi sijakipatia jibu maana sielewi kuna umakusudi au watanzani wenye tuu ndio magumashi kwenye suala la kupata Visa.
Majuzi nina jamaa yangu alienda kuomba Visa ya UK kwaajili ya kwenda shule kusoma na kwa jinsi ilivyokuwa na kulingana na muongozo wa British commission requirement jamaa alitimiza kila kitu kilichohitajika na kupeleka pale mishale ya saa 3 asubuhi.
Kwa vile alijaza form Online haikuwa tabu kuingia pale kwa reception na kwenda kufanya submission na kuambiwa arudi saa 8:30 mchana.
Kazi ikaja pale aliporudi na kuona ameandikiwa refusal na huku akihamaki kuona kati ya watu 71 walioomba siku ile ni 4 tuuu ndio waliopata. Sasa kwa mshangao na kutomwamini msela nikajaribu kuuliza kwa watu tofauti na marafiki wakasema hayo ni ya kweli na haya kijiba.
Kwa upande wa pili, inakuwaaje kunakuwa na ugumu sana kwenye Visa ya UK hapa Bongo na nchi kama NIGERIA na GHANA na nyingine kma South Africa wanapata tena bila hata ya migegeseko ya kama Bongo.
Nani mchawi hapa Mwananchi, Wafanyakazi wa British Commission au UK wenyewe hawawataki WATANZANIA?
Naomba msaada wenu ndugu zanguni maana Kuuliza Sio Ujinga wala Ugonjwa? Why? Kwaniniiiiiiiiii?