Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,453
- 154,316
Kama vijana wa taifa hili ndo wanavyotumia simu zao, basi simu hazifai; wengine wanazitumia kuweka picha kwenye blog zao SIKU NZIMA, wengine wawasiliana na wapenzi wao SIKU NZIMA, wengine wanashinda SIKU NZIMA wakicheki story za soka,..sioni chochotekatika hivi chenye mchango wa kuboresha maisha ya mtu binafsi wala taifa,.moja wapo ya kiini muhimu unapo design tangazo la biashara ni ku-communicate the benefit of using a particular product or service; kitu ambacho ktk hili tangazo sikioni;..I stand to be corrected!