TUWEKANE BAYANA
Member
- Mar 10, 2011
- 45
- 0
Viongozi wetu wanagombea ili kujaza matumbo yao ndio maana wakiingia huwa hawawakumbuki tena waliowaweka madarakani.. na hiyo ndo hali halisi ya viongozi wetu.. ofisi za umma wanazigeuza mahala pa kutokea kimaisha..
mungu hayunanyi viongozi wabadhirifu..
mungu hayunanyi viongozi wabadhirifu..