Kwanza poleni na majukuma ya siku nzima wna jf
poleni na kuumiza vichwa baada ya changamoto za hapa na aple na kubwa ikiwa ni ujifanyie nini kwa ajili yako na familia yako lkn pia na taifa lako kwa ujumla
ikiwa ni tangia juzi watanzania tumekuwa na hamasa kubwa na kila moja akitaka kuona haki na wajibu vichukua mkondo wake lkn kwa wenye mamlaka na wanohodhi madaraka ya nchi hii kwa maana sisiem wamepiga tiktaka kichwa chini miguu juu haki na wajibu nyuma wizi na ufiisadi mbela na kwa mantiki hiyo matarajio ya wengi na fraha ya wengi imepotea hamana cha waziri mdogo wala mkubwa aliye onyesha kujali hili
eeeh greater thinker kwa nafasi yako unamshauri nin mtanzania??????
poleni na kuumiza vichwa baada ya changamoto za hapa na aple na kubwa ikiwa ni ujifanyie nini kwa ajili yako na familia yako lkn pia na taifa lako kwa ujumla
ikiwa ni tangia juzi watanzania tumekuwa na hamasa kubwa na kila moja akitaka kuona haki na wajibu vichukua mkondo wake lkn kwa wenye mamlaka na wanohodhi madaraka ya nchi hii kwa maana sisiem wamepiga tiktaka kichwa chini miguu juu haki na wajibu nyuma wizi na ufiisadi mbela na kwa mantiki hiyo matarajio ya wengi na fraha ya wengi imepotea hamana cha waziri mdogo wala mkubwa aliye onyesha kujali hili
eeeh greater thinker kwa nafasi yako unamshauri nin mtanzania??????