Mshaanza negativity??
Ok ,kama huitaji kuaminisha mtu lolote kuhusu wewe ,picha unayodai ni yako unayotuma iliyozibwa nywele mpaka nyayo haina maanaSipo kubishana au kumuaminisha Mtu lolote
KumekuchaKufanya kazi kwenye temp agency aka vikarbyrå huwezi kutengeneza pesa ya maana hata siku moja. Utakuwa unaishi wiki kwa wiki kutegemea kama temp agency wataweza kukutafutia vibarua kila ukimaliza kazi sehemu moja. Kamwe huwezi kuvuta Tshs 30 million kwa mwezi kwa kazi za kipato cha chini/minimum wage huko Norway.
Kumekucha
Duuuuuu!!!!!Kufanya kazi kwenye temp agency aka vikarbyrå huwezi kutengeneza pesa ya maana hata siku moja. Utakuwa unaishi wiki kwa wiki kutegemea kama temp agency wataweza kukutafutia vibarua kila ukimaliza kazi sehemu moja. Kamwe huwezi kuvuta Tshs 30 million kwa mwezi kwa kazi za kipato cha chini/minimum wage huko Norway.
Sijui Kama umeelewa na unafatilia vizuriKufanya kazi kwenye temp agency aka vikarbyrå huwezi kutengeneza pesa ya maana hata siku moja. Utakuwa unaishi wiki kwa wiki kutegemea kama temp agency wataweza kukutafutia vibarua kila ukimaliza kazi sehemu moja. Kamwe huwezi kuvuta Tshs 30 million kwa mwezi kwa kazi za kipato cha chini/minimum wage huko Norway.
Mwalimu wangu anasema dunia nzima inapesa ila kuzipata inategemea unazitafutajeNdugu yangu dunia nzima hakuna pesa Ila inategemea wewe unaitafuta vipi.
Mimi najua hiyo nimepitia kazi za vikar. Wewe unakuja na hoja watu waende Norway kufanya kazi za bandarini wakati wewe mwenyewe huna permanent contract ya uajiri bandarini bali una contract na temp agency. Kesho kutwa temp agency atakupangia kwenda kuosha vyombo na masufuria canteen aka kafeteria. Kwahiyo kwa ajira hizi za muda ndiyo unatengeneza 30 mil kwa mwezi wakati unalipwa minimum wage kama huna taaluma za kazi husika? Kamwe huwezi kuwa tajiri Norway, Ulaya au Marekani kwa kazi za kuajiriwa na Temporary Job Agencies kama Manpower, Adecco, etc hata kwa viwango vya Tanzania. Utaishia kulipa bills zako tu tena kwa taabu sana. Ukishindwa unaenda NAV wanakubeba kukusaidia na vihela vya kodi, mavazi na chakula.Sijui Kama umeelewa na unafatilia vizuri
Wewe ni kinega