bado unathibitisha ujinga amabao Trump anauongelea wewe unaona ni wapi au tabia ya kuuliza majibuhiyo picha ya pili kutoka mwisho...hapo ni marekani?
Tatizo ni nini mbona pachafu hivyo?
bado unathibitisha ujinga amabao trump anauongelea ww unaona ni wapi au tabia ya kuuliza majibu
hiyo picha ya pili kutoka mwisho...hapo ni marekani?
Maryland ni Kubwa sana .Hiyo Baltimore ipo maryland .Baltimore is a district .Kinondoni ni wilaya kubwa mno ila kuna sehemu wilaya ya kinondoni ni horribleTrump kasema hakuna binadamu atakaewish kuishi huko,Inamaana wanaoishi huko siyo binadamu.Huwa mkija bongo mnasema mnaishi Maryland kumbe huko ni kuchafu binadamu hawaishi huko.Poleni sana.Rudini Tanzania nyumbani kumenoga.
Yes India reported about Baltimore And DetroitHapo si Marekani, ni India! Kuna maandishi ya kihindi pembeni na watu pia wanaonekana ni wahindi!
Yes India reported about Baltimore And Detroit
Trump kasema hakuna binadamu atakaewish kuishi huko,Inamaana wanaoishi huko siyo binadamu.Huwa mkija bongo mnasema mnaishi Maryland kumbe huko ni kuchafu binadamu hawaishi huko.Poleni sana.Rudini Tanzania nyumbani kumenoga.
Hata police hawawatakiJamani hii nayo Ni USA beiiibiiii! Nchi hizi zinaunafiki sana sasa USAID wanafanya nini huku wakati kwao bado kunawahitaji wa kudumu.