Bugari bijoga
Member
- Mar 18, 2012
- 13
- 0
Kuna suala la mfumo wa digital ambao kuanzia mwezi wa kwanza unaanza kutumika lakini je watanzania wanayo elimu ya kutosha kuhusu mfumo huu?je,wewe unasemaje? unalionaje?
Naona ni mfumo mzuri kulinganisha na analogy bt ndo ivo garama za kupata services zitaongezeka.....#you cant have only television to get servises au mi naelewaje jmn.