Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 17,895
- 25,944
Aman iwe nanyi wakuu
Natoa wito kwa watanzania wenzetu ambao wametoka mkoan dar kwa magari ya jeshi kuja mji mkuu dodoma waache ushenz fasta tena mara moja vingenevyo tutagawana fito mda si mrefu
Kumekuwa kuna tabia kwa watu hawa ambao walisombwa na semi za jeshi kama mizigo kuja makao makuu dodoma na kuanza kusumbua watu
1. Wamekuwa wanasabisha ajali za mara kwa mara kwa kujifanya wao ni mamwamba sana yaan wanajua sana kuovataeki kuchomeka vigari vyao kwenye folen, vigari vyenyewe ni vi Paso na vi Starlet. Ajali zimekuwa nyingi sana na hawana ustarabu hata robo wanaposabisha ajali hukimbia na kutokomea kusikojulikana, sisi tumezoea inapotokea ajali tunasaidiana wala siyo kukimbiana maana sisi wote ni watanzania na viumbe wa mola wetu mlezi yaan watoto wa Adamu na Eva
2. Wake zao kujitongozesha
Kumekuwa na tabia ya wake za hawa jamaa kujitongozesha kwetu wanaume wa dodoma wakati huo sisi tuna mademu zetu, waambieni wake zenu waache shobo
3. Ulimbukeni
Aisee sijawahi ona watu malimbuken kama hawa aisee. Akija hata kama ni dukani anataka kununua nguo au simu ataanza kukuletea maswala ya Dar. Mara mbona sisi dar hizi shati ni elf kumi tu mbona nyie huku munauza bei kubwa, mbona sisi hizi simu kwa Dar tunanua sijui laki moja mbona huku mnatuuzia bei kubwa, mbona hivi viatu tukienda Karume ni elfu tano tano mbona huku munauza bei kubwa hivyo
Sasa kama karume wanauza bei ndogo si muende mkanunue huko huko kuliko kuja kusumbua watu huku, ukiona sisi tunauza vitu bei kubwa kanunue huko huko Dar kuliko kutuletea ulimbuken wenu huku
4. Wanaume kuongea saut za kike na kutuma msg kwa miandiko ya kike
Hili limekuwa tatizo sugu sana yaan unachati na jemba anaanza kukutext kwa maneno haya:
Mamb
P
Axnt
5. Wanajeshi kuweka kofia na makoti yao ya jeshi kwenye viti vya IST zao, hii tabia kwa wanajeshi wa makao makuu Dodoma haikuwepo wamekuja hawa malimbuken kutoka Dar wameanza ujinga wao wa Dar
Achen ujinga vinginevyo tutagawana fito aisee. Tutawachapa kweli kweli
LONDON BOY
Natoa wito kwa watanzania wenzetu ambao wametoka mkoan dar kwa magari ya jeshi kuja mji mkuu dodoma waache ushenz fasta tena mara moja vingenevyo tutagawana fito mda si mrefu
Kumekuwa kuna tabia kwa watu hawa ambao walisombwa na semi za jeshi kama mizigo kuja makao makuu dodoma na kuanza kusumbua watu
1. Wamekuwa wanasabisha ajali za mara kwa mara kwa kujifanya wao ni mamwamba sana yaan wanajua sana kuovataeki kuchomeka vigari vyao kwenye folen, vigari vyenyewe ni vi Paso na vi Starlet. Ajali zimekuwa nyingi sana na hawana ustarabu hata robo wanaposabisha ajali hukimbia na kutokomea kusikojulikana, sisi tumezoea inapotokea ajali tunasaidiana wala siyo kukimbiana maana sisi wote ni watanzania na viumbe wa mola wetu mlezi yaan watoto wa Adamu na Eva
2. Wake zao kujitongozesha
Kumekuwa na tabia ya wake za hawa jamaa kujitongozesha kwetu wanaume wa dodoma wakati huo sisi tuna mademu zetu, waambieni wake zenu waache shobo
3. Ulimbukeni
Aisee sijawahi ona watu malimbuken kama hawa aisee. Akija hata kama ni dukani anataka kununua nguo au simu ataanza kukuletea maswala ya Dar. Mara mbona sisi dar hizi shati ni elf kumi tu mbona nyie huku munauza bei kubwa, mbona sisi hizi simu kwa Dar tunanua sijui laki moja mbona huku mnatuuzia bei kubwa, mbona hivi viatu tukienda Karume ni elfu tano tano mbona huku munauza bei kubwa hivyo
Sasa kama karume wanauza bei ndogo si muende mkanunue huko huko kuliko kuja kusumbua watu huku, ukiona sisi tunauza vitu bei kubwa kanunue huko huko Dar kuliko kutuletea ulimbuken wenu huku
4. Wanaume kuongea saut za kike na kutuma msg kwa miandiko ya kike
Hili limekuwa tatizo sugu sana yaan unachati na jemba anaanza kukutext kwa maneno haya:
Mamb
P
Axnt
5. Wanajeshi kuweka kofia na makoti yao ya jeshi kwenye viti vya IST zao, hii tabia kwa wanajeshi wa makao makuu Dodoma haikuwepo wamekuja hawa malimbuken kutoka Dar wameanza ujinga wao wa Dar
Achen ujinga vinginevyo tutagawana fito aisee. Tutawachapa kweli kweli
LONDON BOY