Watanzania milioni moja – One –MT project ni sawa na NICOL?

When I say we (Africans) talk more than we do, I get slammed for being a cynic.
 
Mtanzania thanks for your comments. Like I said earlier the projects I have mentioned or did think of are indicators of what can be done by us. I am in line with what you are commenting and would as well appreciate the piece by piece accomplishments.

Can you please therefore suggest a small project that we can think of investing in and will be of benefit to the entire Tanzania. Another point to ponder, the focus should be more into society development than individualistic benefits.
 
Having a brilliant idea is one thing, but having to actually deliver it is another story.

If Tanzanians of different ethnic, religious, social and economic backgrounds in urban areas all over the country cannot be expected to pull their resources together and repair something so trivial and basic as dilapidated neighborhood roads, how the hell could anyone entertain the idea of locally led private initiative to plan and finance a billion dollar project of the magnitude sketched above? Pure wishful thinking if not day dreaming!

Nyama,

Kila society ina starting point, regrouping and restart na kuendelea. Tanzania sasa hivi iko kwenye stage ya regrouping ili kuwa na mwanzo mpya. Hivyo basi, tunaomba nguvu zako ziweko katika kujiunda upya na kboresha mfumo mpya tunaotaka kuujenga.

Wote tunafahamu historia, itakaa mawazoni mwetu kutukumbusha pale ambapo tulianza kupotoka na kuanza kuharibu mambo.

Hakuna jamii hata moja duniani ambayo haijawahi kupitia msuguano na msukosuko kama tunavyoona sasa hivi. Sisi si wa kwanza na wala hatutakuwa wa mwisho. Ni hali halisi ya Ubinadamu.

Tuambie, kwenye kulijenga upya Taifa letu, wewe utafanya nini?
 
Bin Maryam,

Now this is much better as far as constructive criticism, goes.

Nyambala katoa Fikra, Umetoa utaalamu pinganifu, let the game begin.

Your analysis puts us into thinking mode on how to realize this Dream of Nyambala. Huku ndiko kulikuwa kunahitiajika ili kujenga mradi madhubuti na si kuanza kuogopa na kutafuta visingizio kuwa mradi hautafanikiwa.

Rev:

Naona katika mijadala kama hii nywele zako uwa zina-sisimka. Pingamizi langu kubwa sio hoja ya kukataa
Mawazo ya Mwanzilishi ndugu Nyambala. Pingamizi nililonalo ni risk-factors ambazo zinaambatana na miradi iliyopo katika
mazingira yetu na mitigation zake.

Ukweli wa mambo baada ya uhuru serikali nyingi za kiAfrika zilijiingiza katika juhudi za industrilisation.
Vikwazo vikubwa vilikuwa business model walizofuata, mismanagement, matapeli wa kimataifa ambao walitumia
naivette ya waafrika kuiba pesa kwa kutoa miradi iliyowanufaisha wao na sio waafrika na mambo mengine.

Kushindwa kwa kujaribu sio kitu kibaya iwapo utajenga Knowledge base ambayo itasaidia kuondoa matatizo ya miradi iliyopita
na kujenga Excellency ya uanzishaji na uendezaji wa miradi inayokuja.

Katika posti zilizopita. Kuna mtu alisema Nyerere alianzisha University lakini Mwinyi na Mkapa walishindwa.
Fundi Mchundo (Fundi Mwenzangu) akajibu kwa kusema kuwa kuanzisha sio kazi, kazi ipo kwenye kuendeleza. Na kwa wale
waliopitia IT, wanajua kabisa kuwa implementation ya IT system ni 20% ya bajeti na maintanance ni 80% ya bajeti. Na kwa mtaji
huu kila mradi una implementation cost na running cost.

Mpaka sasa watanzania wamesha-implement miradi mingi tu. Hivyo kwa sehemu kubwa weakness yetu haipo katika kubuni
miradi au kuanzisha. Weakness kubwa ipo kwenye kuendesha miradi hiyo (running). Na siku zote usiendeshe kitu kwa kutumia weakness
zako. Utapata hasara tu.

Hivyo wazo la mtu kutumia mchango wa watanzania 1,000,0000 kuanzisha mradi sio kitu kibaya lakini hiyo ni 20-40% ya mradi mzima.
60-80% ni sehemu ya ku-run au kuendesha mradi mzima ili ulete manufaa.

Hivyo changamoto kwa watoaji wa mada inabaki palepale. Watueleze wataleta utamaduni upi wa kuongoza miradi hiyo hili itoe faida
kwa waliochangia na kwa jamii.
 
Nyama,

Kila society ina starting point, regrouping and restart na kuendelea. Tanzania sasa hivi iko kwenye stage ya regrouping ili kuwa na mwanzo mpya. Hivyo basi, tunaomba nguvu zako ziweko katika kujiunda upya na kboresha mfumo mpya tunaotaka kuujenga.

Wote tunafahamu historia, itakaa mawazoni mwetu kutukumbusha pale ambapo tulianza kupotoka na kuanza kuharibu mambo.

Hakuna jamii hata moja duniani ambayo haijawahi kupitia msuguano na msukosuko kama tunavyoona sasa hivi. Sisi si wa kwanza na wala hatutakuwa wa mwisho. Ni hali halisi ya Ubinadamu.

Tuambie, kwenye kulijenga upya Taifa letu, wewe utafanya nini?

Rev. Kishoka,

The answer to your question is very simple: I pay taxes to the Tanzanian state as part of my citizenship deal with the state of Tanzania.

In return, I expect the state to spend my tax money on construction and rehabilitation of major public infrastructures like roads, bridges, water, sewerage and power supply systems, schools, hospitals etc etc (together with a long list of public services like law enforcement, health care, education etc.)

Why would anyone in Tanzania (albeit on bona fide voluntary basis) spend $1000 on a project whose goal is supposedly to offer these same facilities and services that law abiding, hard working, tax paying masses expect from their tax money?
 
Here is a perfect example of sense of community (or lack thereof) prevalent in many urban communities in Tanzania today.

Expensive SUVs, million dollar mansions and 24-hours armed response guards notwithstanding, residents of affluent Mbezi Beach suburb would rather replace their 40-thousand-dollars 4WD vehicles every 12 months or so rather than engage in some collective community effort to patch up a kilometer or two of dangerously flooded street roads in their own neighborhoods.

http://www.thisday.co.tz/images/main.jpg
 
Rev:

Naona katika mijadala kama hii nywele zako uwa zina-sisimka. Pingamizi langu kubwa sio hoja ya kukataa
Mawazo ya Mwanzilishi ndugu Nyambala. Pingamizi nililonalo ni risk-factors ambazo zinaambatana na miradi iliyopo katika
mazingira yetu na mitigation zake.

Ukweli wa mambo baada ya uhuru serikali nyingi za kiAfrika zilijiingiza katika juhudi za industrilisation.
Vikwazo vikubwa vilikuwa business model walizofuata, mismanagement, matapeli wa kimataifa ambao walitumia
naivette ya waafrika kuiba pesa kwa kutoa miradi iliyowanufaisha wao na sio waafrika na mambo mengine.

Kushindwa kwa kujaribu sio kitu kibaya iwapo utajenga Knowledge base ambayo itasaidia kuondoa matatizo ya miradi iliyopita
na kujenga Excellency ya uanzishaji na uendezaji wa miradi inayokuja.

Katika posti zilizopita. Kuna mtu alisema Nyerere alianzisha University lakini Mwinyi na Mkapa walishindwa.
Fundi Mchundo (Fundi Mwenzangu) akajibu kwa kusema kuwa kuanzisha sio kazi, kazi ipo kwenye kuendeleza. Na kwa wale
waliopitia IT, wanajua kabisa kuwa implementation ya IT system ni 20% ya bajeti na maintanance ni 80% ya bajeti. Na kwa mtaji
huu kila mradi una implementation cost na running cost.

Mpaka sasa watanzania wamesha-implement miradi mingi tu. Hivyo kwa sehemu kubwa weakness yetu haipo katika kubuni
miradi au kuanzisha. Weakness kubwa ipo kwenye kuendesha miradi hiyo (running). Na siku zote usiendeshe kitu kwa kutumia weakness
zako. Utapata hasara tu.

Hivyo wazo la mtu kutumia mchango wa watanzania 1,000,0000 kuanzisha mradi sio kitu kibaya lakini hiyo ni 20-40% ya mradi mzima.
60-80% ni sehemu ya ku-run au kuendesha mradi mzima ili ulete manufaa.

Hivyo changamoto kwa watoaji wa mada inabaki palepale. Watueleze wataleta utamaduni upi wa kuongoza miradi hiyo hili itoe faida
kwa waliochangia na kwa jamii.

Ndugu yangu Bin Maryam, wewe hujaleta pingamizi, bali umeleta changamoto kwenye hoja, na hilo ndilo ninlofurahia na kutamani uchangiaji wetu uwe wa kutoa changamoto ili kuboresha fikra au kujenga hoja na si kubomoa au pingamizi ambazo zinaonyesha ni kuishiwa nguvu!

Nitarudi na majibu japo si muda kidogo!
 
NICO?????????????????? kwa mtizamo wangu they are failing us. Ngoja tusubiri waweke kwenye DSE ndipo muziki mzuri utaaanza. Mimi i call NICO " Chagga Donation fund.
Hongera kwa wazo la One MT fund...I am in for the idea. Tatizo la wa TZ
1.management
2. Hidden agendas
3. Unrealistic projects
Kama One MT itakuwa na mtizamo wa kutengeneza PESA kwa PESA on a serious note......nitatoa. Longolongo zimekuwa nyingi mno. Kuna vijana wana ideas nzuri mno wengine wanataka mikopo ya 5M TShs basi...hata tukifanya kazi ya kuwakopesha na wakarudisha na riba tutakuwa tumewasaidia wananchi sana.
Sasa tusiishie ku brain storm tu jamani tuanze...kama tuko serious. Nimechoka mipango ya hewani...
 
NICO?????????????????? kwa mtizamo wangu they are failing us. Ngoja tusubiri waweke kwenye DSE ndipo muziki mzuri utaaanza. Mimi i call NICO " Chagga Donation fund.
Hongera kwa wazo la One MT fund...I am in for the idea. Tatizo la wa TZ
1.management
2. Hidden agendas
3. Unrealistic projects
Kama One MT itakuwa na mtizamo wa kutengeneza PESA kwa PESA on a serious note......nitatoa. Sasa tusiishie ku brain storm tu jamani tuanze...kama tuko serious. Nimechoka mipango ya hewani...

Thanks mama lao kwa mawazo mazuri lakini nna mashaka kidogo kuhusu hili la Nicol kwamba ni chaga donations fund. Unaweza kuthibitisha tafadhali!!!
Tukija kwenye matatizo ya watz, mimi naona hiyo huwa ni hasa upande wa serikali na NGO's tena za hapa nyumbani lakini watz hao hao kwa bepari wanapiga kazi haswa, Umewahi kutembelea hizo mining industry za Tanzania, TBL, Cement factories etc. nani anafanya kazi huko?. Ukienda SA, Botswana , Zimbabwe, Mozambique, Namibia na hata Sychells kuna watanzania wanachapa kazi kwelikweli tena katika rare proffesions.

Hivyo basi naona ni vema tuendelee kubrainstorm, but at least with the some time limit (say 1+ months) na baada ya hapo tutafute conclusion halafu tuuze idea yetu ndani na nje ya JF.
 
Back
Top Bottom