Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,171
Watanzania milioni moja – One –MT project
Nimekaa nikifikiria kuhusu ujasiriamali nikajikuta naona mradi madhubuti ambao kama kweli, kwa nia moja na thabiti isiyo na chembe ya ufisadi inaweza kubadili kabisa mustakabali wan nchi yetu.
Watanzania milioni moja katika mradi huu kila mmoja anatakiwa kutoa US $ 1000, that sums up to US$ 1,000,000,000. Nikiwa kama mhandisi miradi niliyesimamia miradi mingi na yenye thamani mpaka kufikia US $ 400,000,00 ntajaribu kuiweka hoja yangu katika mtizamo huo.
Ieleweke kwamba tangu nchi yetu ipate uhuru hakuna mradi hata mmoja uliowahi kujengwa kwa gharama ya one billion US dollars na si hapa tu hata katika nchi zote za Africa miradi hiyo inahesabika. Hivyo basi that is a huge amount of money!!!!!!! Kumbe watanzania milioni moja……
1.Tunaweza kujenga barabara ya lami ya kisasa kabisa kutoka Dar mpaka Mwanza.
2.Tunaweza kimiliki Liganga – Mchuchuma kwa asilimia 100.
3.Tunaweza kujenga shule za kisasa kabisa say kwa US $500,000 each elfu mbili.
4.Tunaweza kujenga hospitali bora na za kisasa kabisa say kwa US $1, 000,000 each elfu moja.
5.Tunaweza kujenga bomba la maji kutoka Mwanza mpaka Dodoma na mikoa ya jirani
6.Tunaweza kujenga reli kutoka mtwara mpaka makambako.
7.Tunaweza kujenga PP'F towers 200
8.Tunaweza kujenga bandari zote tatu kubwa – sea ports (Dar, Tanga, Mtwara)
9.Tunaweza kumiliki mabasi yoote Tanzania.
10.Tunaweza kujenga mijengo ya Balali kwa bei halali kama mitano hivi.
11.Tunaweza kumiliki migodi yote iliyopo Tanzania kwa sasa
12.Tunaweza kujenga gas - power station Kubwa kuliko zote in East ,Central and Western Africa.
13.Tunaweza kuweka lami barabara zote za jiji la Dar.
14.Tunaweza kujenga viwanja vya michezo mithili ya ule wa mpya wa taifa kila moka
15.Tunaweza kuwa na capital kuliko fisadi yeyote hapa nchini.
16.Tunaweza kutoa ajira hizo milioni zilizo ahidiwa na JK.
17.Tunaweza kuunganisha mikoa yoote ya pembezoni mwa TZ kwa lami.
18.Tutakuwa tuna hela nyingi kuliko hata zile alizotoa Joji kichaka.
19.Tunaweza pia kununua Man U, Arsenal na Chelsea.
20.Tunaweza kufanya mengi tuuuuuuuu Kubwa zaidi hata yale Ambayo serikali imeshindwa kabisa kuyafanya toka tupate uhuru.
Truth: Watanzania milioni moja wanaoipenda nchi yao wanaweza kuiboresha nchi yao kwa mengi.
Challenge: Inawezekana kweli kukusanya watu milioni moja kuwauzia hii hoja ikakubalika na kutekelezeka?Who Hill manage this Project? Sounds not really uhhhh!!!!!
Ok let's work it out this way- Katika watanzania milioni moja, nusu yake yaani laki tano wawe ni govt fund. The remaining laki tano gawa kwa kumi = 50,000. Hivi haiwezekani kupata watanzania 50,000 wenye $10,000 kila mmoja tukatekeleza hii One –MT project (One million Tanzanians project).
Nakaribisha mawazo na njia mbadala, we can work thru One –MT project. Ninaamini tunaweza kufanya makubwa yasiyotarajika. Kama sikosei akina Mosha na ile NICO ni the same idea!!!!!!! Well but this is One –MT project.
Nawakilisha.
Nimekaa nikifikiria kuhusu ujasiriamali nikajikuta naona mradi madhubuti ambao kama kweli, kwa nia moja na thabiti isiyo na chembe ya ufisadi inaweza kubadili kabisa mustakabali wan nchi yetu.
Watanzania milioni moja katika mradi huu kila mmoja anatakiwa kutoa US $ 1000, that sums up to US$ 1,000,000,000. Nikiwa kama mhandisi miradi niliyesimamia miradi mingi na yenye thamani mpaka kufikia US $ 400,000,00 ntajaribu kuiweka hoja yangu katika mtizamo huo.
Ieleweke kwamba tangu nchi yetu ipate uhuru hakuna mradi hata mmoja uliowahi kujengwa kwa gharama ya one billion US dollars na si hapa tu hata katika nchi zote za Africa miradi hiyo inahesabika. Hivyo basi that is a huge amount of money!!!!!!! Kumbe watanzania milioni moja……
1.Tunaweza kujenga barabara ya lami ya kisasa kabisa kutoka Dar mpaka Mwanza.
2.Tunaweza kimiliki Liganga – Mchuchuma kwa asilimia 100.
3.Tunaweza kujenga shule za kisasa kabisa say kwa US $500,000 each elfu mbili.
4.Tunaweza kujenga hospitali bora na za kisasa kabisa say kwa US $1, 000,000 each elfu moja.
5.Tunaweza kujenga bomba la maji kutoka Mwanza mpaka Dodoma na mikoa ya jirani
6.Tunaweza kujenga reli kutoka mtwara mpaka makambako.
7.Tunaweza kujenga PP'F towers 200
8.Tunaweza kujenga bandari zote tatu kubwa – sea ports (Dar, Tanga, Mtwara)
9.Tunaweza kumiliki mabasi yoote Tanzania.
10.Tunaweza kujenga mijengo ya Balali kwa bei halali kama mitano hivi.
11.Tunaweza kumiliki migodi yote iliyopo Tanzania kwa sasa
12.Tunaweza kujenga gas - power station Kubwa kuliko zote in East ,Central and Western Africa.
13.Tunaweza kuweka lami barabara zote za jiji la Dar.
14.Tunaweza kujenga viwanja vya michezo mithili ya ule wa mpya wa taifa kila moka
15.Tunaweza kuwa na capital kuliko fisadi yeyote hapa nchini.
16.Tunaweza kutoa ajira hizo milioni zilizo ahidiwa na JK.
17.Tunaweza kuunganisha mikoa yoote ya pembezoni mwa TZ kwa lami.
18.Tutakuwa tuna hela nyingi kuliko hata zile alizotoa Joji kichaka.
19.Tunaweza pia kununua Man U, Arsenal na Chelsea.
20.Tunaweza kufanya mengi tuuuuuuuu Kubwa zaidi hata yale Ambayo serikali imeshindwa kabisa kuyafanya toka tupate uhuru.
Truth: Watanzania milioni moja wanaoipenda nchi yao wanaweza kuiboresha nchi yao kwa mengi.
Challenge: Inawezekana kweli kukusanya watu milioni moja kuwauzia hii hoja ikakubalika na kutekelezeka?Who Hill manage this Project? Sounds not really uhhhh!!!!!
Ok let's work it out this way- Katika watanzania milioni moja, nusu yake yaani laki tano wawe ni govt fund. The remaining laki tano gawa kwa kumi = 50,000. Hivi haiwezekani kupata watanzania 50,000 wenye $10,000 kila mmoja tukatekeleza hii One –MT project (One million Tanzanians project).
Nakaribisha mawazo na njia mbadala, we can work thru One –MT project. Ninaamini tunaweza kufanya makubwa yasiyotarajika. Kama sikosei akina Mosha na ile NICO ni the same idea!!!!!!! Well but this is One –MT project.
Nawakilisha.