VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,355
I did not know that?????? Now I know...... Safi sana tunahitaji kina dada zaidi hapa JF.... mnasemaje Dodoma???i'm dada not kaka. Dodoma kwema. Karibu unitembelee.
I did not know that?????? Now I know...... Safi sana tunahitaji kina dada zaidi hapa JF.... mnasemaje Dodoma???i'm dada not kaka. Dodoma kwema. Karibu unitembelee.
Wewe gabachori wewe, unatia kichefuchefu kweli!!!
We do have fierce loyalty and confidence in JK and his administration, so we don't care what others say about our country. Go CCM Go JK!!
HIVI WATANZANIA TUMEROGWA? HATUONI AIBU WATU WENGINE WAANDAMANE KWA AJILI YA HAKI YETU. SIJASIKIA KIONGOZI YOYOTE WA NCHI HII AMBAYE AMEONYESHA UCHUNGU KWA KUIBIWA NA HAWA BAE. THIS MEANS VIONGOZI WETU WANAHUSIKA KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE KATIKA KASHFA HII.
YAANI WATU WENGINE NDIO WANAKUWA WANATUTONGOZEA TUPATE HAKI ZETU NA SISI TUMEKAA KIMYA KAMA MAJUHA. NO NO NO NO NO LAZIMA KITU KIFANYIKE HAPA. TUKIUNGANA TUTAWEZA, NCHI YETU INAPELEKWA PABAYA NA SISIS TUMEKAA KIMYA TU KAMA MAJUHA!
\NASEMA TENA NO NO NON NO INAUMA SANA!!!!!!!!!!!!!!!
I did not know that?????? Now I know...... Safi sana tunahitaji kina dada zaidi hapa JF.... mnasemaje Dodoma???