Watanzania mbona msiwape taarifa makampuni ya kimataifa yanayong'ang'ania kuajiri Wakenya kwamba hawaruhusiwi

wee mbuzi kweli,hivi unaelewa ninachokwambia!!!

haya endeleeni kupanua gape maana raha na marengo yenu ni kuona mnaipiku tanzania meanwhile hata tunashangaa GDP yenu ina faida gani.

Enzi za Nyerere ilikua sio kubwa sana ila akawaghubika na Ujamaa ikaanza kutanua, akaja Mwinyi akawaambia yote ruksa, mkawa na kamuamko, ila bado mlikua mumechelewa tayari, mkampa Mkapa, yule alikua mchapa kazi sema akaachia mafisadi ikawa bado mnahangaika hamtufikii, kisha akaja Kikwete, kwa namna fulani sijui ilitokeaje ila enzi za Kikwete mumetufukuzia, hapo nakiri mlikua nusra mtunusie makalio, ila miaka yake ikaisha akajindokea.

Mkampa Magu, yeye akaja kinamna fulani cha tumbua tumbua, ikawa haeleweki sera zake, mkaingiwa na uwoga nchi yote, ikawa hamuhoji chochote, kanunua mindege ambayo mumeipaki, mara korosho full vurugu, mara hiki mara kile, mpaka sasa hatujajua nini haswa kinahusu awamu ya tano, ila tulichofaulu kushuhudia ni kwamba kwa awamu hii pengo baina yetu kiuchumi iliongezeka kwa kasi, tukawaacha na tunazidi kuwaacha kwa mbali, kingine ambacho nilikishangaa ni mauzo yetu kwenu yameongezeka sana kwenye awamu hii, nilidhani yatapungua haswa mlipoanza kutia kuku wetu viberiti, mara mkamate ng'ombe, nilishangaa sana kwenye hizo takwimu.

Halafu ndio mshafaulu kufuta upinzani, yaani nyie tuwewapa buriani kabisa, msubiri Uganda wawapiku, sijui nani atakuja awaokoe....
 
Enzi za Nyerere ilikua sio kubwa sana ila akawaghubika na Ujamaa ikaanza kutanua, akaja Mwinyi akawaambia yote ruksa, mkawa na kamuamko, ila bado mlikua mumechelewa tayari, mkampa Mkapa, yule alikua mchapa kazi sema akaachia mafisadi ikawa bado mnahangaika hamtufikii, kisha akaja Kikwete, kwa namna fulani sijui ilitokeaje ila enzi za Kikwete mumetufukuzia, hapo nakiri mlikua nusra mtunusie makalio, ila miaka yake ikaisha akajindokea.

Mkampa Magu, yeye akaja kinamna fulani cha tumbua tumbua, ikawa haeleweki sera zake, mkaingiwa na uwoga nchi yote, ikawa hamuhoji chochote, kanunua mindege ambayo mumeipaki, mara korosho full vurugu, mara hiki mara kile, mpaka sasa hatujajua nini haswa kinahusu awamu ya tano, ila tulichofaulu kushuhudia ni kwamba kwa awamu hii pengo baina yetu kiuchumi iliongezeka kwa kasi, tukawaacha na tunazidi kuwaacha kwa mbali, kingine ambacho nilikishangaa ni mauzo yetu kwenu yameongezeka sana kwenye awamu hii, nilidhani yatapungua haswa mlipoanza kutia kuku wetu viberiti, mara mkamate ng'ombe, nilishangaa sana kwenye hizo takwimu.

Halafu ndio mshafaulu kufuta upinzani, yaani nyie tuwewapa buriani kabisa, msubiri Uganda wawapiku, sijui nani atakuja awaokoe....

hutakaa uelewe ni kitu gani tunataka kufanya.

subiri matokeo ukiendelea kuhesabu gape ikitanuka.
 
hutakaa uelewe ni kitu gani tunataka kufanya.

subiri matokeo ukiendelea kuhesabu gape ikitanuka.

Matokeo siku zote huwa tunayaangalia kwenye viashiria vilivyobuniwa kisayansi, kwa bahati mbaya kwenu, hii hamuwezi kusindika kama kura, uhalsia wake unaonekana.
 
Matokeo siku zote huwa tunayaangalia kwenye viashiria vilivyobuniwa kisayansi, kwa bahati mbaya kwenu, hii hamuwezi kusindika kama kura, uhalsia wake unaonekana.

uhalisia unaupima wapi??

wewe unachotakiwa ni kuendelea kukuza gape ya GDP tu,wala usijali kuhusu sisi.ama huwezi!!!
 
uhalisia unaupima wapi??

wewe unachotakiwa ni kuendelea kukuza gape ya GDP tu,wala usijali kuhusu sisi.ama huwezi!!!
Usisahahu na kupima Corona na kutangaza kila siku, mzee wa kupima, pima, pima, pimaaa, sasa hivi kule kwenye kupima ameangukia pua, amekimbilia katika Gap la GDP, kabla ya kupima Corona alikua kwenye LDC

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
uhalisia unaupima wapi??

wewe unachotakiwa ni kuendelea kukuza gape ya GDP tu,wala usijali kuhusu sisi.ama huwezi!!!

Uhalsia unapimwa kwa misingi ya kisayansi, kawaulize "National Bureau of Statistics" wa huko kwenu watakuelimisha na hapo utaona aibu.
 
Uhalsia unapimwa kwa misingi ya kisayansi, kawaulize "National Bureau of Statistics" wa huko kwenu watakuelimisha na hapo utaona aibu.

misingi ya kisayansi ndio inaonyesha deni lenu linakaba 70% ya pato lenu kwa mwaka.

na mnazidi kukopa kila asubuhi.lakini huwezi jua sababu wewe unapoona GDP inakuwa basi mengine hayana haja kuyajua,muhimu mko juu ya tanzania.
 
Usisahahu na kupima Corona na kutangaza kila siku, mzee wa kupima, pima, pima, pimaaa, sasa hivi kule kwenye kupima ameangukia pua, amekimbilia katika Gap la GDP, kabla ya kupima Corona alikua kwenye LDC

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app

tunamaogezea kete kuingiza ndani zaidi.

mpaka akija kushtuka ameshika GDP iliyovaa kofia inaelea hewani.

msione hasira za hawa jamaa humu jamani,hawana hamu,nao wameanza kuishtukia GDP sema ni vile hawajui watataja kitu gani wanapotaka kukaa juu.
 
Mnajistukia tu na Mihemko yenu ya Kikenya plus inferiority Complex,
Nawajua Wahindi Kibao,
Waganda Kibao,
Wapakistan na Wachina Kibao walionyimwa working permits for same reasons, mtu amesoma diploma ya finance anakuja kufanya kazi Tz si ufala huo?
Kenyans mna midomo mikubwa na Mirefu kushinda hawa wote.
Mwisho wa Siku Kama unataka kufanya biashara Tanzania it's our terms and Condiotions, huwezi fungasha sepa. After all these are not serious investors aiming at exploiting, making profits and running away.
Hivi MMkurugenzi wa Coca cola ana diploma ya Finance?
 
Hatutaki wakenya nyie ni wezi!


Kweli Wakenya ni wezi, kuna Bro wangu mmoja alikutana na mkenya Ulaya miaka ya 70, kwakuwa wote walikuwa wanatoka East Africa na wanaongea kiswahili, huyo bro Wangu akajua amempata "ndugu" basi akamkaribisha kwenye hosteli aliyofikia, loo, kumbe huyo mkenya alikuwa na lake jambo, ilipofika asubuhi kaondoka bila kuaga huku kamuibia bro baadhi ya vitu vyake.🤣---ila Sio wote ni wezi, ila ukiwa na Mkenya chukua tahadhari jinsi utakavyochukua tahadhari ukiwa na Mnaijeria.
 
misingi ya kisayansi ndio inaonyesha deni lenu linakaba 70% ya pato lenu kwa mwaka.

na mnazidi kukopa kila asubuhi.lakini huwezi jua sababu wewe unapoona GDP inakuwa basi mengine hayana haja kuyajua,muhimu mko juu ya tanzania.

Yeah hiyo misingi ya kisayansi ndio inaonyesha tunaelekea kuwazidi mara mbili kiuchumi, miundo mbinu, kielimu, kijeshi na kila kitu.
 
Mtu mmoja aliomba kupewa injili na yesu yesu akamuuliza je inafaa kwa mtu kumpa mbwa Chakula cha watoto wake, yule mtu akajibu akisema ata mbwa huwa anakula makombo ya mbwana zao.

Sasa iweje leo mbwa anataka kula Chakula Cha vijana wasomi wa tanzania. Kuna kazi za kuwapa wake ambazo ni makombo yetu kama vile uwalimu wa kindergarten napo tunawachukua tu kwasababu wajifanya wanajuaga kuongea kingereza vizuri. Napia wamebanana kwao wazungu wamejimegea ardhi ya kutosha tu huko kwao kwahiyo tunawasaidi tu
 
Huwa simkubali Magufuli kwenye mambo kadhaa, ila nampa pongezi anavyokula sahani moja na Kenya. Wakenya wamechezea hii nchi kwa muda mrefu, wameiba, wameua viwanda na wamefikia sehemu wakaona Tanzania ni mkoa wa Kenya. Tena ifike sehemu serikali ifanye censorship ya Wakenya walio Tz na mali wanazomiliki. Kama hao wazungu wanawapenda sana, wakawaajiri kwenye hizo nchi zao
 
Back
Top Bottom