Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 10,656
- 21,079
Mbna tayri we una shobo nao kitambo, km mitandao yao tu unatumia
Kama wewe ulivyo na shobo na bongo hadi kutumia JF š¤£
Hakuna forums huko kwenu au kila kabila na forum yake?
Mbna tayri we una shobo nao kitambo, km mitandao yao tu unatumia
Sijaona jamii forums tz mimi, hapa nipo jamii forums kenyan section.Kama wewe ulivyo na shobo na bongo hadi kutumia JF
Hakuna forums huko kwenu au kila kabila na forum yake?
Ili muandamane mkisaga meno.Sasa uzi unasema mbona msitoe tamko rasmi ndio mabeberu wasiajiri wakenya tz
Sijaona jamii forums tz mimi, hapa nipo jamii forums kenyan sectio.
Au ndio umeshachanganyikiwa tayari, manake mi ndio napaswa kukuuliza km unatafuta nn hku kenyan section mchumba
Nyie mnautajiri gani? Attitude yenu ya kujiona wazungu weusi ilhali mizungu bado inawadharau imewafikisha wapi?
acha umama, Coca-cola kwanza ipo chini ya CCBA (Cocacola Bevarage Africa) makao yake makuu yapo SA ambao wanamilikiwa na Coca-cola wenyewe from Atlanta USA, CCBA inamatawi mengi sana across Africa ikiwemo NBL na nyinginezo hapo kwenu, na zote zinareport SA sio Nairobi . Wengine wote wanao produce coca hao tunawaita bottlers ambao wananunua tu patent rights za production, huku kwetu kuna Bonite bottlers na Nyanza bottlers, hawa hawana HQ nchi yoyote yani ni franchisers tu. Sasa usijishebedue eti nyie ndo HQ, mxiuuu.
Sasa kama HQ ipo huko mnalilia nini kuja TZ.. Mnataka HQ iwe Kenya na kazi za TZ wafanye wakenya? Waambie hayo makampuni they may as well move the plant huko kama hawawezi kufuata taratibu zetu, it's that simple.
Kenya Blacklisted in Dubai's Traveller List
The statement also pointed out 11 other countries that had been affected by this decision.www.kenyans.co.ke
Mbna ya yule mhindi hamkuulizia CV
Wivu wa kijinga sana ndio mko nao, kwn nyinyi hapa JF ni akina nani mpka mjikute ndio board ya coca cola..
Ndo tushagoma sasa hata mlie vipi hawataki wanaweza ondoa it's that simple. Hii ndo TZ hatunyenyekei mizungu or anyone in that matter. Mliona tulivyofanya KQ hadi mkaomba poo, coca cola and the likes will receive the same treatment. Endelea kupiga kelele hapa uone kama tutalegeza
Kama wewe ulivyo na shobo na bongo hadi kutumia JF
Hakuna forums huko kwenu au kila kabila na forum yake?
Badilisheni muweke JamiiForums tz basi alafu mtoe kenyan sections km vile nchi zingineOhh Jamii forums (website) sasa ni ya Kenya shangazi kama Mt. Kilimanjaro sio
Tuandamane kisa kazi za tanzaniaili muandamane mkisaga meno.
sisi pia tuna huruma.
Kiswahili, English au English /Swahili, then Computer literate.Ni lazima tuangalie kwa nini hizo kampuni ziko after Kenyans,sisi watanzania tumekosa nini..kisha tupandikize hizo qualities kwetu Tanzanians..badala ya kulaumu...mojawapo nacchohisi mmetupita ni level ya English na Computer use..sidhani kwenu Kenya mnalazimisha watu waende jeshi ati kujifunza uzalendo. Richard
Tuandamane kisa kazi za tanzania
Ni lazima tuangalie kwa nini hizo kampuni ziko after Kenyans,sisi watanzania tumekosa nini..kisha tupandikize hizo qualities kwetu Tanzanians..badala ya kulaumu...mojawapo nacchohisi mmetupita ni level ya English na Computer use..sidhani kwenu Kenya mnalazimisha watu waende jeshi ati kujifunza uzalendo. Richard
Time will then tellTanzanians have no capacity to run such organisation
BigotryTanzanians have no capacity to run such organisation