Mbolabilika
JF-Expert Member
- Jul 30, 2019
- 2,125
- 2,859
Jiliwaze ila hii ndio TANZANIA kama ulikuwa huijuiWaende wakapige kelele na uae tena
Jiliwaze ila hii ndio TANZANIA kama ulikuwa huijuiWaende wakapige kelele na uae tena
Hapana. Tunaanza na jilani kwanza. Hao wengine hatuna shida nao.Ona kwenye hii picha mlivyochorwa kwa alama nyekundu kwamba ukanda huu wa EAC ni nyie tu mnatakiwa mpimwe corona ndani ya masaa 96 na pia mpimwe mara mbili, moja kwenu na nyingine huko UAE kabla kuingia, hamjiulizi mbona dunia inawatenga licha ya kujiaminisha mumepona corona kimiujiza......
Sisi mnatupigia makelele na kulialia ila ndio ukwel huo, dunia imewashangaa mlivyojichokea kwa hili la corona na kuachia kila mmoja ahangaike kivyake, aidha ajifie au apone.
Natumai serikali yetu itaweka mkakati wa kuhakikisha hamuingii huku bila kupimwa, kama ilivyo pale mpakani, na lazima mpimwe na wataalam wetu msje na vyeti vya kufoji huko Kariokoo, maana mnang'ang'ania sana kuja.
Jibu la TANZANIA kwa Kenya linasa abisha Kesho kutangazwa nchi kibao mpaka Malawi utaisikia ikitajwa ,hii ndio nchi yenye nguvu Africa mashariki na mtetezi wa wanyongeEti Wakenya wanaweka Restriction!! TZ Mwenyewe amewatia jamba jamba within 24 hrs Mkabana Mkaachia!! Na huyo US mtamuweza kweli???
Hao hawajitambui kama Kenya wenye akili ni hawaOna kwenye hii picha mlivyochorwa kwa alama nyekundu kwamba ukanda huu wa EAC ni nyie tu mnatakiwa mpimwe corona ndani ya masaa 96 na pia mpimwe mara mbili, moja kwenu na nyingine huko UAE kabla kuingia, hamjiulizi mbona dunia inawatenga licha ya kujiaminisha mumepona corona kimiujiza......
Sisi mnatupigia makelele na kulialia ila ndio ukwel huo, dunia imewashangaa mlivyojichokea kwa hili la corona na kuachia kila mmoja ahangaike kivyake, aidha ajifie au apone.
Natumai serikali yetu itaweka mkakati wa kuhakikisha hamuingii huku bila kupimwa, kama ilivyo pale mpakani, na lazima mpimwe na wataalam wetu msje na vyeti vya kufoji huko Kariokoo, maana mnang'ang'ania sana kuja.
Tunawaambia ukiolewa huwezi kulala na pichu. Wanabana baadae wanatanuaTumewatia kibano mmesitisha ban yenu ndani ya saa 24 halafu uko hapa kujiliwaza kwa habari za mataifa mengine. Shenzi kaboto
Leta tangazo la juzi halafu linganisha na huu ujinga wa waziri wenu kiazi.Naona umeanza kutafuta pa kutokea
Hembu soma kwa makini hapaWhat has Tanzania earned. Because kenya will still put Tanzanians under 14 day quarantine and KQ will continue to fly to all your airports. All you gained was the image of pettiness and stupidity.
Sent from my SM-N975F using JamiiForums mobile app
Ni resume after talks, na ni baada ya nyie kutuita kwenye round table bro, na hiyo picha ni ni July 15 sio leoTanzanian idiots. A simple clarification. They could have asked first before acting childish. Sasa one day and KQ is back in Tanzania . What has Tanzania gained from all this childish behavior
Kenya Airways to Resume Tanzania Flights as Nations End RowView attachment 1524040
Sent from my SM-N975F using JamiiForums mobile app
Ha ha ha haaaaaaKitu pekee mnacho export Tanzania ni mirungi tu
Mbona Uganda mliitajaMbona kingereza huwa kinawapiga chenga hadi mnatia huruma, umeelewa nini maana ya "Open to US citizens", hayo ni mataifa ambayo yameambia USA kwamba waje na hawatazuiwa, kwa kifupi mataifa ambayo yamejianika na kufungulia milango wananchi wa USA hata akija kama anakohoa kohoa.
Tunahangaika na nyieOna kwenye hii picha mlivyochorwa kwa alama nyekundu kwamba ukanda huu wa EAC ni nyie tu mnatakiwa mpimwe corona ndani ya masaa 96 na pia mpimwe mara mbili, moja kwenu na nyingine huko UAE kabla kuingia, hamjiulizi mbona dunia inawatenga licha ya kujiaminisha mumepona corona kimiujiza......
Sisi mnatupigia makelele na kulialia ila ndio ukwel huo, dunia imewashangaa mlivyojichokea kwa hili la corona na kuachia kila mmoja ahangaike kivyake, aidha ajifie au apone.
Natumai serikali yetu itaweka mkakati wa kuhakikisha hamuingii huku bila kupimwa, kama ilivyo pale mpakani, na lazima mpimwe na wataalam wetu msje na vyeti vya kufoji huko Kariokoo, maana mnang'ang'ania sana kuja.
yan muda unavyozidi kwenda nazid kuwapuuza wakenya (poor rating).Ona kwenye hii picha mlivyochorwa kwa alama nyekundu kwamba ukanda huu wa EAC ni nyie tu mnatakiwa mpimwe corona ndani ya masaa 96 na pia mpimwe mara mbili, moja kwenu na nyingine huko UAE kabla kuingia, hamjiulizi mbona dunia inawatenga licha ya kujiaminisha mumepona corona kimiujiza......
Sisi mnatupigia makelele na kulialia ila ndio ukwel huo, dunia imewashangaa mlivyojichokea kwa hili la corona na kuachia kila mmoja ahangaike kivyake, aidha ajifie au apone.
Natumai serikali yetu itaweka mkakati wa kuhakikisha hamuingii huku bila kupimwa, kama ilivyo pale mpakani, na lazima mpimwe na wataalam wetu msje na vyeti vya kufoji huko Kariokoo, maana mnang'ang'ania sana kuja.
Siagi unayopaka mkate wako asubuhi ni made in Kenya.Kitu pekee mnacho export Tanzania 🇹🇿 ni mirungi tu
Ha!!!! Kumbe hao EPA ! Ni uchungu kwa tz baada ya kukataa takataka ya EPAOna kwenye hii picha mlivyochorwa kwa alama nyekundu kwamba ukanda huu wa EAC ni nyie tu mnatakiwa mpimwe corona ndani ya masaa 96 na pia mpimwe mara mbili, moja kwenu na nyingine huko UAE kabla kuingia, hamjiulizi mbona dunia inawatenga licha ya kujiaminisha mumepona corona kimiujiza......
Sisi mnatupigia makelele na kulialia ila ndio ukwel huo, dunia imewashangaa mlivyojichokea kwa hili la corona na kuachia kila mmoja ahangaike kivyake, aidha ajifie au apone.
Natumai serikali yetu itaweka mkakati wa kuhakikisha hamuingii huku bila kupimwa, kama ilivyo pale mpakani, na lazima mpimwe na wataalam wetu msje na vyeti vya kufoji huko Kariokoo, maana mnang'ang'ania sana kuja.
Hao mabeberu wa UAE wanauchungu wa tz kukwamisha EPA wala usishangae sisi watz tunajua sababuWaende wakapige kelele na uae tena
Siagi unayopaka mkate wako asubuhi ni made in Kenya.
Mtaanza lini?Tutapaka asali ya Tabora.