Watanzania kushangilia kuangushwa kwa Makonda katika kura za maoni Jimbo la Kigamboni kunaashiria nini?

Makonda angeongoza ungeongea uozo huo????

Au kisa Dkt. Kashinda ndo maana unasema bado mchakato unaendelea
Angeshinda makonda mchakato ungeishia hapo ???
Acha kujifariji kijinga hujui lolote ktk siasa hizi
Sijui lolote au wewe ndio hujui lolote? Utaratibu upo vipi? Pumbavu shenzi.
 
Kumbe makonda anachukiwa mi sikuwa na jua nikona watu wanavyo mshangilia nikajua wanampenda....
 
Media influence, unaweza mfananisha Makonda na mkuu wa mkoa yupi Tanzania, binadamu amejazwa chuki bila kuchambua mwenyewe kichwani mwake.

Nina imani na Makonda, hata kama hapo amekosa, ila kuna sehemu atapata bureee kabisa bila kupingwa.

Sometimes watanzania tumezoea kuongozwa na wapiga dili na wasanii sanii tu, watanzania wamefika sehemu hawataki kiongoz anayeleta maaendeleo, hawataki mabadiliko.

Magufuli ameingia, watu wanamtukana, wanabeza, hv tangu mtu umezaliwa kuna rais amewah kuwa namna hii kama ya Magufuli? Sasa watanzania mnataka nini? The same to Makonda, mtaona mengi sana na mtateseka sana mioyo yenu isiyotaka positive changes.. change ur mind
Media influence kwa KUFANYA UVAMIZI CLOUDS?....
 
Yaaan furaha haielezeki niliyonayo, tangu nmezaliwa sijawahi hata kunywa soda maan nna allergy na vinywaji vya viwandani,
Lakini leo nimedufua heinken nzima. ,
jamani sijui wajumbe wa CCM Kigamboni niwape zawadi gani wallah
Lazima kuna kitu amekufanyia
 
Wapinzani wangejipanga vizuri wakapeleka watu mahiri kwenye majimbo ya Segerea na Temeke wangeweza kushinda kwa jinsi hali ilivyo!
 
" GENTAMYCINE Sisi wana CCM hapa Kigamboni tulikwazika sana hasa na Kitendo cha Mtu ambaye Kwanza hakai nasi huku Kigamboni kuja Kugombea na tena Kilichotuuma zaidi ni Yeye kuja huku wakati akijua kabisa kuwa Kipenzi chetu wana CCM Kigamboni Daktari Faustine Ndugulile yupo, ametufanyia makubwa na hakuna Kosa lolote alilotufanyia. Jana tumetoa Meseji kwa walio huko Juu, " wamesema wana CCM Kigamboni.

" GENTAMYCINE kuna Tetesi tumeanza Kuzisikia tu kuanzia jana Usiku baada ya Matokeo kuwa kuna Mtu atalazimishwa ndiyo agombee kwakuwa tu anapendwa na sijui ili Kumlinda asije akaharibu zaidi. Sasa tunakutuma ukawaambie kuwa wakimpitisha tu huyo Mtu Wao wana CCM Kigamboni tutampigia Kura Mgombea wa Upinzani au Kumtaka Dokta Ndugulile ahamie huko tumpigie, " wamesema wana CCM Kigamboni.

" GENTAMYCINE hivi Mtu amepitwa kwa Kura 68 leo hii utalazimishaje ndiyo aje kuwa Mgombea Wetu? Kwahiyo wanataka kusema kuwa hao wana CCM 68 hawana Akili au hawaujui Umuhimu wa Mbunge wetu Kipenzi na aliyemaliza muda wake Dokta Faustine Ndugulile? Tunamuomba kwa Heshima na Taadhima kabisa huyo mwenye Chuki zake na Dokta Ndugulile ayamalize nae ili CCM Kigamboni isonge na akilazimisha tu yale yaliyotokea Kawe 2015 yatahamia huku, " wamesema wana CCM Kigamboni.

" GENTAMYCINE mwisho kabisa tunakutuma ukawaambie hao wana CCM wako Makao Makuu huko Dodoma ukienda kwamba tuna hadi Namba za Simu kama Ushahidi za Watu waliokuwa wakitumiwa Kugawa Pesa kwa Wajumbe wakiutaka watualike katika Kikao chao tuwape. Dokta Ndugulile anatutosha sana Kigamboni na ni Mzawa halisia sasa walazimishe wauone Moto wetu wana CCM Kigamboni, " wamesema wana CCM Kigamboni.

Baada ya GENTAMYCINE kutoka zangu Kigamboni sasa naelekea Jimboni Kawe ili Kamati ile ile ya Roho Mbaya Leo pia imlime Mla Kondoo nae.
Rubbish,unatufundisha kazi?
 
Kura
" GENTAMYCINE Sisi wana CCM hapa Kigamboni tulikwazika sana hasa na Kitendo cha Mtu ambaye Kwanza hakai nasi huku Kigamboni kuja Kugombea na tena Kilichotuuma zaidi ni Yeye kuja huku wakati akijua kabisa kuwa Kipenzi chetu wana CCM Kigamboni Daktari Faustine Ndugulile yupo, ametufanyia makubwa na hakuna Kosa lolote alilotufanyia. Jana tumetoa Meseji kwa walio huko Juu, " wamesema wana CCM Kigamboni.

" GENTAMYCINE kuna Tetesi tumeanza Kuzisikia tu kuanzia jana Usiku baada ya Matokeo kuwa kuna Mtu atalazimishwa ndiyo agombee kwakuwa tu anapendwa na sijui ili Kumlinda asije akaharibu zaidi. Sasa tunakutuma ukawaambie kuwa wakimpitisha tu huyo Mtu Wao wana CCM Kigamboni tutampigia Kura Mgombea wa Upinzani au Kumtaka Dokta Ndugulile ahamie huko tumpigie, " wamesema wana CCM Kigamboni.

" GENTAMYCINE hivi Mtu amepitwa kwa Kura 68 leo hii utalazimishaje ndiyo aje kuwa Mgombea Wetu? Kwahiyo wanataka kusema kuwa hao wana CCM 68 hawana Akili au hawaujui Umuhimu wa Mbunge wetu Kipenzi na aliyemaliza muda wake Dokta Faustine Ndugulile? Tunamuomba kwa Heshima na Taadhima kabisa huyo mwenye Chuki zake na Dokta Ndugulile ayamalize nae ili CCM Kigamboni isonge na akilazimisha tu yale yaliyotokea Kawe 2015 yatahamia huku, " wamesema wana CCM Kigamboni.

" GENTAMYCINE mwisho kabisa tunakutuma ukawaambie hao wana CCM wako Makao Makuu huko Dodoma ukienda kwamba tuna hadi Namba za Simu kama Ushahidi za Watu waliokuwa wakitumiwa Kugawa Pesa kwa Wajumbe wakiutaka watualike katika Kikao chao tuwape. Dokta Ndugulile anatutosha sana Kigamboni na ni Mzawa halisia sasa walazimishe wauone Moto wetu wana CCM Kigamboni, " wamesema wana CCM Kigamboni.

Baada ya GENTAMYCINE kutoka zangu Kigamboni sasa naelekea Jimboni Kawe ili Kamati ile ile ya Roho Mbaya Leo pia imlime Mla Kondoo nae.

[/QUOTE
 
Samahani mkuu sijasema kwamba hamna akili naheshimu sana mawazo ya watu na wewe yakupasa hueshimu yangu, binafsi sioni makosa ya Makonda ambayo husababisha jamii kumchukia na wala jamii haimchukii Makonda kama baadhi ya watu wanavyojaribu kutuaminisha naamini kwa kazi alilizozifanya Makonda anaweza shinda jimbo lolote la Dar ikiwa kura zitapigwa na wananchi wa kawaida.

Mimi na tabia ya kumpima mtu kwa kazi zake sio majungu au prejudice. Tangu Makonda ameingia madarakani madawa ya kulevya yameisha Dar kam sio kupungua, wako wapi panya road, vipi kuhusu usafi wa jiji, vipi kuhusu kipindupindu Dar kipo tena? Sasa unaanzaje kumchukia mtu huyu?
christeve88
Umeuliza tunaanzaje kumchukia Makonda?

Swali jepesi na nitakupa jibu lake

Kila mtu anajua kuwa uRC ni utumishi wa Umma na unapaswa uwe mnyenyekevu na kuwatumikia hao watu waliokupa dhamana hiyo..

Sasa huyo Bwana Makonda, alitaka wananchi ndiyo wamtetemekee na kumuhofia yeye, kitu ambacho siyo sawa
 
Kura za maoni zisikupumbaze mimi naamini Makonda ndio mkuu wa mkoa bora kabisa kuwahi kutokea, ni kiongozi mwenye uthubutu na mwenye maono na anayependa kujaribu. Naamini kama Makonda akifanikiwa kuingia kwenye baraza la mawaziri na akapewa wizara ya kilimo ambayo imeajiri watu wengi basi kutakuwa na mapinduzi makubwa sana ya kilimo wakulima watanufaika sana

Nilichokigundua mimi ni kwamba kuna nguvu kubwa sana ya media hasa mitandao ya kijamii inatumika kuaminisha uma kuwa Makonda ni kiongozi mbaya, na hii ni kutokana na ujasiri wale uliochangia kuokoa vijana wengi wa Tanzania waliokuwa wakiteketea, sasa wanufaika wote wakahakikisha wanaelekeza nguvu zao kuhakikisha wanamchafua. Kiongozi mzuri hawezi pimwa kwa wingi wa kura pekee yawezekena wake wajumbe waliopiga kura za maoni wakawa sio wafuasi wake, lakini ikumbukwe wananchi hawapigi kura kwa kuangalia ufuasi, wao huangalia ni kipi kiongozi alichowafanyia au atachowafanyia, na kama hivi ndivyo ilivyo naamini Makonda anaweza shinda jimbo lolote lile ndani ya Tanzania kutokana na kazi kubwa aliyoifanya ya kuokoa kizazi chetu hasa vijana . Ni binadamu wachache sana wenye uthubutu hapa duniani na hawa huwa ni tunu.
Ana dharau sana, amekosa hekima ya kiuongozi, ana sifa kupitiliza, haheshimu viongozi wenzake. Hafai kuongoza watu.

Anasahau kuwa uongozi ni dhamana, lazima kila unachoongea kiwe na mipaka. Hafai..
 
These are ignorant of the world around them, ni mbumbumbu wa kinachoendelea duniani!
Hawa mbumbumbu wanahangaika na hali zao, wanajua mbunge hagawani nai mshahara wake wala mafao yake.
Sasa sijui nani mbumbumbu, anayetumia muda wake kushabikia mambo yaliyo nje ya uwezo wake, au anaetumia muda wake kufukuzia mambo yake?

These ``ignorant of the world around them´´ would like to share👇🏿 with you;

1595325538366.png

AMEN🙏🏿.
 
Back
Top Bottom