Watanzania kushangilia kuangushwa kwa Makonda katika kura za maoni Jimbo la Kigamboni kunaashiria nini?

Nimeshangazwa sana kuangushwa kwa Makonda na wana ccm. Hata yeye mwenyewe ameshangazwa sana! Amesema kuwa jambo hili limemuumiza sana! Kiasi kwamba akasema kuwa anamuachia Mungu! Na akawa anajiuliza kwamba amekoswa wapi?

Lakini hili limenifanya nijiulize maswali mengi. Mojawapo haswa, ni hili la Makonda kusifiwa kwa uchapa kazi sambamba na boss wake! Hata alipokuwa akilalamikiwa na wapinzani, yeye alimwambia “nenda kachape kazi”. CCM wenyewe kuanzia waziri mkuu, makamu wa Rais na hata Bashiru, hawakuwa na sauti mbele zake, wala ushawishi zaidi yake mbele za boss mkuu!

Yoye tisa, kumi, ni pale Bashiru alipokataa kumpa fomu ya kugombea urais mwana chama yoyote yule wa ccm zaidi ya boss mkuu. Hapa swali jingine nililojiuliza, ni je ni kwanini alikumbwa na wasiwasi mkubwa kama ni kweli boss mkubwa anakubalika sana ndani ya chama kwa uchapa kazi wake, wasiwasi wa nini hadi kuzuia wanachama wengine wasichukuwe fomu? Hili ni wazi kabisa kuwa wasiwasi wake umetokana na yeye kutokuwa na uhakika kuhusu vikao vya kumpitisha pamoja na kura za maoni ndani ya ccm.

Makonda yeye mwenyewe ameshindwa kutetewa na boss huku kwenye kura za maoni. Lakini bado ana kanafasi kengine majina yakipelekwa kwa boss. Lakini tayari hali inaonekana siyo shwari kama wanavyotaka tuamini. Ninaamini wengi wako kwa nidhamu ya woga. Hivyo siwezi kushangazwa Membe akifuatiwa na wengine kuisambaratisha ccm. Kivumbi zaidi kitakuja kama ikitokea kuwa majina yaliyopelekwa, yakakatwa baada ya boss kuamka kivingine!

Huu ni ule mwaka wa kuona mengi. Tuombe amani.
 
Kuangushwa katika kura za maoni za CCM, katika jimbo la Kigamboni, kwa Paul Makonda na Faustine Ndugulile, kumepokelewa kwa shangwe kubwa sana na watanzania wa nchi nzima

Hivi hali hiyo inaweza ikawa inaashiria nini?

Wengi wa watanzania hawakubaliani na baadhi ya mambo ya kundi lile dogo! Na kama wataonyesha maamuzi hayo kwenye sanduku la kura, basi 'Jechalisation' lazima ifanyike ili kundi lile dogo linusurike.
 
Nimeshangazwa sana kuangushwa kwa Makonda na wana ccm. Hata yeye mwenyewe ameshangazwa sana! Amesema kuwa jambo hili limemuumiza sana! Kiasi kwamba akasema kuwa anamuachia Mungu! Na akawa anajiuliza kwamba amekoswa wapi?

Lakini hili limenifanya nijiulize maswali mengi. Mojawapo haswa, ni hili la Makonda kusifiwa kwa uchapa kazi sambamba na boss wake! Hata alipokuwa akilalamikiwa na wapinzani, yeye alimwambia “nenda kachape kazi”. CCM wenyewe kuanzia waziri mkuu, makamu wa Rais na hata Bashiru, hawakuwa na sauti mbele zake, wala ushawishi zaidi yake mbele za boss mkuu!...
kuruka na kukanyagana tyuuuh hakuna namna
 
tusihishi maisha ya peponi wakati tuko duniani...midomo tuchunge sana kuna muda watu wananyamaza tu lakini ww utajutia maamuzi siku moja
 
Kuangushwa katika kura za maoni za CCM, katika jimbo la Kigamboni, kwa Paul Makonda na Faustine Ndugulile, kumepokelewa kwa shangwe kubwa sana na watanzania wa nchi nzima

Hivi hali hiyo inaweza ikawa inaashiria nini?

Hivi inawezekanaje kwa mkuu wa mkoa, ambaye mara kwa Mara amekuwa akisifiwa hadharani na Rais Magufuli aliyemteua na kumtaja kuwa ndiye mkuu wa mkoa bora kabisa hapa nchini na wakuu wa mikoa wengine, wanapaswa waige mfano wa uchapaji kazi wa huyo Paul Makonda, wanaccm wa Kigamboni waamue kumnyima kura?

Licha ya malalamiko mengi sana ya wananchi kuwa Mkuu huyo wa mkoa hafai na kumwomba Rais Magufuli atengue uteuzi wake...
Swali fikirishi hivi mwaka huu wabunge wa kuteuliwa na mkulu watakuwepo?
 
Swali fikirishi hivi mwaka huu wabunge wa kuteuliwa na mkulu watakuwepo?
Yes, hao wabunge wa kuteuliwa wasiozidi 10, wapo kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa hiyo hilo halina shaka kuwa Rais ataitumia Katiba hiyo
 
Aiseeee!!!
IMG-20141102-WA0010.jpg
 
Sabuni ni dawa hutaki kunawa,una mikono michafu.
Paulo usije kucheza na sisi.
 
The surest way to corrupt the mind of a youth, says Friedrich Nietzsche, is to instruct him to hold in high esteem those who think alike than those who think differently.

Paul Makonda is a kind of a person who think differently from the general public na kwa sababu Jamii imefundishwa kuiheshimu watu wenye maoni yanayo fanana na maoni yao kuliko watu wenye maoni tofauti basi automatically Makonda anajikuta anachukiwa na watu.

However, says Niccolo Machiavelli, it is better to be feared than to be loved.

Paul Makonda dont take it personal . The all hatred have nothing to do with you.

# Hating is a very easy way to do to a person that u cannot defeat.

The spirit of hatred dwells on weak people and cowards whichever comes first
Kama makonda naye ni mtu katika nchi hii Kama alivyokuwa kwenye serikali ya Magu ,basi sisi kuwa masikini Kama taifa na mtu mmoja mmoja ni halali yetu maana wote tutakuwa tu empty heads
 
Back
Top Bottom