Hana cha zaidi anachowazidi wengine. He is just average. Anabebwa na promo a.k.a. kiki na mbeleko ya mzee baba.Kwa juhudi za nani sasa mimi huwa sina prejudice napenda kiongizi anayejihusisha na matatizo ya wananchi moja kwa moja, mambo aliyefanya Makonda yaliwashinda viongozi wengi tu na ndio point inayombeba hayo mengine mimi kama mwananchi wa kawaida siyajui, mimi nazungumzia uwezo wake wakufanya kazi na kusimamia haki katika jamii anayoiongoza.
Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app