Pasco_jr_ngumi JF-Expert Member Nov 20, 2010 1,802 282 Dec 25, 2013 #1 Naombeni msaada, nafanya utafiti yakinifu... Tangu JK aingie madarakani kuna mabadiliko ya mawaziri yanafanyika... kuna faida na tija kwa hii nchi?!!
Naombeni msaada, nafanya utafiti yakinifu... Tangu JK aingie madarakani kuna mabadiliko ya mawaziri yanafanyika... kuna faida na tija kwa hii nchi?!!
Mkoroshokigoli JF-Expert Member Dec 20, 2012 14,594 5,568 Dec 25, 2013 #2 Faida ipo,hasa kwa wale waliochaguliwa,maana wanakula bure,wanapata huduma zoooote, ila kwa wapiga kura hakuna
Faida ipo,hasa kwa wale waliochaguliwa,maana wanakula bure,wanapata huduma zoooote, ila kwa wapiga kura hakuna
OLESAIDIMU JF-Expert Member Dec 2, 2011 19,139 9,525 Dec 25, 2013 #3 Angalia objectives za kila wizara ,time frame na budget allocated!!!!!! Then angalia reflections za hayo maneno ya vitabuni katika maisha halisi!!!!! Hapo tunaweza kupata pa kuanzia bila kutaja majina ya watu sababu kama hayo hapo juu hayazingatiwi "majina" yatabadilika mpaka Yesu arudi mkuu!!!
Angalia objectives za kila wizara ,time frame na budget allocated!!!!!! Then angalia reflections za hayo maneno ya vitabuni katika maisha halisi!!!!! Hapo tunaweza kupata pa kuanzia bila kutaja majina ya watu sababu kama hayo hapo juu hayazingatiwi "majina" yatabadilika mpaka Yesu arudi mkuu!!!
bily JF-Expert Member Apr 5, 2012 8,030 5,772 Dec 25, 2013 #4 Ni hasara kubwa sana ni sijui ni kwanini mheshimiwa Rais ajui hili wakati kasoma uchumi ? Poor country.
Ni hasara kubwa sana ni sijui ni kwanini mheshimiwa Rais ajui hili wakati kasoma uchumi ? Poor country.
Shark JF-Expert Member Jan 25, 2010 29,459 29,153 Dec 25, 2013 #5 Kama tunabadili Mawaziri lakini hatuna Rais, faida itakuja vipi??
M Mzee Wa Liverpool Senior Member Jul 18, 2013 197 22 Dec 25, 2013 #6 mmmmmmhhhhhhhhh ........................... nothing