BINAGI BLOG-BMG
Member
- Mar 12, 2016
- 72
- 32
Watanzania kumbe tunaogopa tu kutembelea vivutio vyetu vya utalii. Tukisingizia gharama kumbe si kweli.
Nimekuja Serengeti, nimelipa 11,800 pamoja na VA, m'bongo ni nafuu mno. Mgeni kutoka USA niliyekuwa naye kalipa dola 70, km Tsh.laki na elfu 54.
Swali ni je? Watz tunaogomba nini kutembelea vivutio vyetu vya utalii japo mara moja kwa mwaka?
Nimekuja Serengeti, nimelipa 11,800 pamoja na VA, m'bongo ni nafuu mno. Mgeni kutoka USA niliyekuwa naye kalipa dola 70, km Tsh.laki na elfu 54.
Swali ni je? Watz tunaogomba nini kutembelea vivutio vyetu vya utalii japo mara moja kwa mwaka?