Mi nishawah kula wakat niko ndanda adv.ina test kama kuku hub aliyekauka sema ukila inatia kiu hiv.but ukijaribu hauwez kuacha.ni taam ajabu
Chamaki nchanga ni noma mm kila nikiibuka pande za home lazima nipige hiyo kitu ukifika Ndanda uliza mkorosho haramu wapo kwa wingi bei nafuu
Kwani hao wanaokula hao panya siyo watz, tukianzia na ndugu zetu wa kusini?
Wachaga walikuwa wanamla sana ndezi,wanamuita KIPOPORU