Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,646
- 35,981
Habari za usiku wazee!
Hayati Magufuli kwa kipindi cha miaka 6 ya uongozi wake kazidiwa na mwaka mmoja wa Samia katika kutoa ajira rasmi tena serikalini. Ila cha ajabu bado watu wanaendelea kumtukuza Magufuli kuliko hata Samia.
Je, huu sio uchawi?
Kwenye makusanyo ya fedha Magufuli pamoja na kukusanya pesa kwa kutumia bunduki lakini hajaifikia rekodi ya Samia. Lakini bado watu wanaendelea kumtukuza Magufuli kuliko hata Samia. Huu nao ni uchawi.
Ustawi wa jamii umetulia
Watumishi tumepandishwa madaraja na mwezi huu tunapokea mshahara mwingine.
Lakini cha ajabu bado watu wanaendelea kumtukuza Magufuli kuliko hata Samia.
Huu ni ujuha na uchawi.
Uhuru wa habari.
Sote ni mashahidi, wakati wa Magufuli hakuna TV ya hapa nchini iliyoweza kufanya mahojiano na mwanasiasa wa upinzani . Hakuna tv ya Kibongo iliyorusha hata dk 3 za mkutano wa Tundu Lissu. Lakini bado watu wanaendelea kumtukuza Magufuli kuliko hata Samia.
Sasa hivi hata mitaani kuna pesa angalau kuliko kipindi cha Magufuli ila wananchi hao hao wamesahau ukata wa kipindi cha Magufuli, wanaanza kumtukuza Magufuli
Huu ni uchawi sio bure
Hayati Magufuli kwa kipindi cha miaka 6 ya uongozi wake kazidiwa na mwaka mmoja wa Samia katika kutoa ajira rasmi tena serikalini. Ila cha ajabu bado watu wanaendelea kumtukuza Magufuli kuliko hata Samia.
Je, huu sio uchawi?
Kwenye makusanyo ya fedha Magufuli pamoja na kukusanya pesa kwa kutumia bunduki lakini hajaifikia rekodi ya Samia. Lakini bado watu wanaendelea kumtukuza Magufuli kuliko hata Samia. Huu nao ni uchawi.
Ustawi wa jamii umetulia
Watumishi tumepandishwa madaraja na mwezi huu tunapokea mshahara mwingine.
Lakini cha ajabu bado watu wanaendelea kumtukuza Magufuli kuliko hata Samia.
Huu ni ujuha na uchawi.
Uhuru wa habari.
Sote ni mashahidi, wakati wa Magufuli hakuna TV ya hapa nchini iliyoweza kufanya mahojiano na mwanasiasa wa upinzani . Hakuna tv ya Kibongo iliyorusha hata dk 3 za mkutano wa Tundu Lissu. Lakini bado watu wanaendelea kumtukuza Magufuli kuliko hata Samia.
Sasa hivi hata mitaani kuna pesa angalau kuliko kipindi cha Magufuli ila wananchi hao hao wamesahau ukata wa kipindi cha Magufuli, wanaanza kumtukuza Magufuli
Huu ni uchawi sio bure