Watanzania kubambikiwa kesi; Jaji Mkuu, wanasiasa, wanaharakati, wanasheria na wananchi wote wanalalamika

M-mbabe

JF-Expert Member
Oct 29, 2009
13,203
23,020
Kichwa cha uzi kinajieleza chenyewe.

Humu JF nako tume join bandwagon ya walalamikaji tu (yes, you are right....hata mimi hapa hivi niandikapo sasa - huu ni ulalamishi tu!).

Ukienda twitter huko ndiyo usiseme kabisa - ni kulialia tu!

Kinachosikitisha kuliko vyote ni ni kumsikia kiongozi mkuu wa mhimili wa mahakama (jaji mkuu) naye eti analalamika. Tafsiri hapa ni kwamba mhimili unaopaswa kusimamia haki za Watanzania nao umepanda "Walalamikaji Express Train" kuelekea I don't know where, badala ya kusimamia haki kwa vitendo. Huyu (jaji mkuu) mimi binafsi ameniumiza sana - bora angejinyamazia zake tu!

Lakini sioni aibu kukiri udhaifu wetu wa kulalamika lalamika - ni hatua muhimu kuelekea kwenye kupata ufumbuzi. Wale wachambuzi wa masuala ya kijamii, kiuchumi, kibiashara, nk nina uhakika mnakijua kitu kiitwacho SWOT.

S - tunazo tele
W - zipo lakini karibu zote zinaweza kuwa negated na hazina tele ya "S" tulizo nazo
O - uoga wa watawala
T - ni sisi wenyewe (siyo watawala)

Tuache kulalamika. Tuichambue "SWOT matrix" yetu kisawasawa.

cc: Zitto John Mnyika
 
Kichwa cha uzi kinajieleza chenyewe.

Humu JF nako tume join bandwagon ya walalamikaji tu (yes, you are right....hata mimi hapa hivi niandikapo sasa - huu ni ulalamishi tu!).

Ukienda twitter huko ndiyo usiseme kabisa - ni kulialia tu!

Kinachosikitisha kuliko vyote ni ni kumsikia kiongozi mkuu wa mhimili wa mahakama (jaji mkuu) naye eti analalamika. Tafsiri hapa ni kwamba mhimili unaopaswa kusimamia haki za Watanzania nao umepanda "Walalamikaji Express Train" kuelekea I don't know where, badala ya kusimamia haki kwa vitendo. Huyu (jaji mkuu) mimi binafsi ameniumiza sana - bora angejinyamazia zake tu!

Lakini sioni aibu kukiri udhaifu wetu wa kulalamika lalamika - ni hatua muhimu kuelekea kwenye kupata ufumbuzi. Wale wachambuzi wa masuala ya kijamii, kiuchumi, kibiashara, nk nina uhakika mnakijua kitu kiitwacho SWOT.

S - tunazo tele
W - zipo lakini karibu zote zinaweza kuwa negated na hazina tele ya "S" tulizo nazo
O - uoga wa watawala
T - ni sisi wenyewe (siyo watawala)

Tuache kulalamika. Tuichambue "SWOT matrix" yetu kisawasawa.

cc: Zitto John Mnyika
Well said ... GT
 
Kichwa cha uzi kinajieleza chenyewe.

Humu JF nako tume join bandwagon ya walalamikaji tu (yes, you are right....hata mimi hapa hivi niandikapo sasa - huu ni ulalamishi tu!).

Ukienda twitter huko ndiyo usiseme kabisa - ni kulialia tu!

Kinachosikitisha kuliko vyote ni ni kumsikia kiongozi mkuu wa mhimili wa mahakama (jaji mkuu) naye eti analalamika. Tafsiri hapa ni kwamba mhimili unaopaswa kusimamia haki za Watanzania nao umepanda "Walalamikaji Express Train" kuelekea I don't know where, badala ya kusimamia haki kwa vitendo. Huyu (jaji mkuu) mimi binafsi ameniumiza sana - bora angejinyamazia zake tu!

Lakini sioni aibu kukiri udhaifu wetu wa kulalamika lalamika - ni hatua muhimu kuelekea kwenye kupata ufumbuzi. Wale wachambuzi wa masuala ya kijamii, kiuchumi, kibiashara, nk nina uhakika mnakijua kitu kiitwacho SWOT.

S - tunazo tele
W - zipo lakini karibu zote zinaweza kuwa negated na hazina tele ya "S" tulizo nazo
O - uoga wa watawala
T - ni sisi wenyewe (siyo watawala)

Tuache kulalamika. Tuichambue "SWOT matrix" yetu kisawasawa.

cc: Zitto John Mnyika
Tangu CJ Samatta aondoke sina imani na wote waliofuatia. Wa sasa hiv ni jipu lililoiva.
 
Kichwa cha uzi kinajieleza chenyewe.

Humu JF nako tume join bandwagon ya walalamikaji tu (yes, you are right....hata mimi hapa hivi niandikapo sasa - huu ni ulalamishi tu!).

Ukienda twitter huko ndiyo usiseme kabisa - ni kulialia tu!

Kinachosikitisha kuliko vyote ni ni kumsikia kiongozi mkuu wa mhimili wa mahakama (jaji mkuu) naye eti analalamika. Tafsiri hapa ni kwamba mhimili unaopaswa kusimamia haki za Watanzania nao umepanda "Walalamikaji Express Train" kuelekea I don't know where, badala ya kusimamia haki kwa vitendo. Huyu (jaji mkuu) mimi binafsi ameniumiza sana - bora angejinyamazia zake tu!

Lakini sioni aibu kukiri udhaifu wetu wa kulalamika lalamika - ni hatua muhimu kuelekea kwenye kupata ufumbuzi. Wale wachambuzi wa masuala ya kijamii, kiuchumi, kibiashara, nk nina uhakika mnakijua kitu kiitwacho SWOT.

S - tunazo tele
W - zipo lakini karibu zote zinaweza kuwa negated na hazina tele ya "S" tulizo nazo
O - uoga wa watawala
T - ni sisi wenyewe (siyo watawala)

Tuache kulalamika. Tuichambue "SWOT matrix" yetu kisawasawa.

cc: Zitto John Mnyika
Kwani baba alisemaje..!!! Hakusema kuwa mhimili wake ndo una kina kirefu?
1. Anateuwa majaji
2. Anateua waziri mkuu.....
3. anateua.. anateua... anateua

kwa kuwa anateua na anafanya lolote likiwemo kusitisha uteuzi... kwa kuhofia hilo, WATU WANAISHIA KULALAMA
 
Kichwa cha uzi kinajieleza chenyewe.

Humu JF nako tume join bandwagon ya walalamikaji tu (yes, you are right....hata mimi hapa hivi niandikapo sasa - huu ni ulalamishi tu!).

Ukienda twitter huko ndiyo usiseme kabisa - ni kulialia tu!

Kinachosikitisha kuliko vyote ni ni kumsikia kiongozi mkuu wa mhimili wa mahakama (jaji mkuu) naye eti analalamika. Tafsiri hapa ni kwamba mhimili unaopaswa kusimamia haki za Watanzania nao umepanda "Walalamikaji Express Train" kuelekea I don't know where, badala ya kusimamia haki kwa vitendo. Huyu (jaji mkuu) mimi binafsi ameniumiza sana - bora angejinyamazia zake tu!

Lakini sioni aibu kukiri udhaifu wetu wa kulalamika lalamika - ni hatua muhimu kuelekea kwenye kupata ufumbuzi. Wale wachambuzi wa masuala ya kijamii, kiuchumi, kibiashara, nk nina uhakika mnakijua kitu kiitwacho SWOT.

S - tunazo tele
W - zipo lakini karibu zote zinaweza kuwa negated na hazina tele ya "S" tulizo nazo
O - uoga wa watawala
T - ni sisi wenyewe (siyo watawala)

Tuache kulalamika. Tuichambue "SWOT matrix" yetu kisawasawa.

cc: Zitto John Mnyika

Nadhani ile kauli ya 'udhaifu' kama ya Yule mstaafu inawahusu japo yule wa bunge alikuja juu mithili ya moto wa kifuu.
 
Tangu CJ Samatta aondoke sina imani na wote waliofuatia. Wa sasa hiv ni jipu lililoiva.
Huyo alikuwa jaji mkuu. Hata siku hizi akipata wa kumuuliza, anatoa maoni kuntu. Kuna siku kama aliuliza kanuni na sheria vi wapi maana kila uchao anasikia mashindano ya kutoa matamko. Siku nyingine akabainisha bayana tofauti ya kufanya jambo kama rais na ukiwa rais. Hili la mwisho hata rais wa nchi yetu ya vi-wonder hana kinga. Hapo tatizo ni majaji tulionao: Mashauri, Matupa, e tal. Mashauri yao ya kutupa tu.
Aliweka historia katika judiciary yetu katika ile kesi maarufu ya Mtikika(rip) dhidi ya Lyatonga Mrema akiwa waziri. Samatta alitoa mwongozo matata sana kuhusu wanaojidai kutumia vyeo vya umma kama kinga ya kutoshtakiwa binafsi! Shida huo mwongozo haufuatwi. Majaji wengi wapowapo. Baadhi wanahusudu kuwa katika mhimili uliojichimbia zaidi. Si Mutungi tu hata vimitungi vingine vipo vingi tu. Huwezi amini Kaijage wa NEC ndiye aliamua kesi ya Kasusura! We miss you, Samatta!!!
 
Jaji mkuu alipoamua kujishikamanisha na CCM, ndiyo ulikuwa mwisho wa weledi. Inashangaza sana unapoona jaji mkuu anafanya vikao vya mara kwa mara na katibu mkuu wa chama!!
 
Kichwa cha uzi kinajieleza chenyewe.

Humu JF nako tume join bandwagon ya walalamikaji tu (yes, you are right....hata mimi hapa hivi niandikapo sasa - huu ni ulalamishi tu!).

Ukienda twitter huko ndiyo usiseme kabisa - ni kulialia tu!

Kinachosikitisha kuliko vyote ni ni kumsikia kiongozi mkuu wa mhimili wa mahakama (jaji mkuu) naye eti analalamika. Tafsiri hapa ni kwamba mhimili unaopaswa kusimamia haki za Watanzania nao umepanda "Walalamikaji Express Train" kuelekea I don't know where, badala ya kusimamia haki kwa vitendo. Huyu (jaji mkuu) mimi binafsi ameniumiza sana - bora angejinyamazia zake tu!

Lakini sioni aibu kukiri udhaifu wetu wa kulalamika lalamika - ni hatua muhimu kuelekea kwenye kupata ufumbuzi. Wale wachambuzi wa masuala ya kijamii, kiuchumi, kibiashara, nk nina uhakika mnakijua kitu kiitwacho SWOT.

S - tunazo tele
W - zipo lakini karibu zote zinaweza kuwa negated na hazina tele ya "S" tulizo nazo
O - uoga wa watawala
T - ni sisi wenyewe (siyo watawala)

Tuache kulalamika. Tuichambue "SWOT matrix" yetu kisawasawa.

cc: Zitto John Mnyika
alikupa kazi ndo anakulazimisha upindishe sheria mbona hili liko wazo ndo maana analalamika mbona simple sana kueleweka. una mtindio wa ubongo ndugu yangu?
 
alikupa kazi ndo anakulazimisha upindishe sheria mbona hili liko wazo ndo maana analalamika mbona simple sana kueleweka. una mtindio wa ubongo ndugu yangu?
rudia kusoma uzi ndugu.
ukishindwa kuelewa, mtafute mwenye akili atakutafsiria!
 
rudia kusoma uzi ndugu.
ukishindwa kuelewa, mtafute mwenye akili atakutafsiria!
sasa labda nieleweshe kitu ambacho sijaeelewa kwenye hayo uliyoandika hapo pengine utanisaidia kama hutanionyesha na wewe ni walewale vipofu.
 
Kichwa cha uzi kinajieleza chenyewe.

Humu JF nako tume join bandwagon ya walalamikaji tu (yes, you are right....hata mimi hapa hivi niandikapo sasa - huu ni ulalamishi tu!).

Ukienda twitter huko ndiyo usiseme kabisa - ni kulialia tu!

Kinachosikitisha kuliko vyote ni ni kumsikia kiongozi mkuu wa mhimili wa mahakama (jaji mkuu) naye eti analalamika. Tafsiri hapa ni kwamba mhimili unaopaswa kusimamia haki za Watanzania nao umepanda "Walalamikaji Express Train" kuelekea I don't know where, badala ya kusimamia haki kwa vitendo. Huyu (jaji mkuu) mimi binafsi ameniumiza sana - bora angejinyamazia zake tu!

Lakini sioni aibu kukiri udhaifu wetu wa kulalamika lalamika - ni hatua muhimu kuelekea kwenye kupata ufumbuzi. Wale wachambuzi wa masuala ya kijamii, kiuchumi, kibiashara, nk nina uhakika mnakijua kitu kiitwacho SWOT.

S - tunazo tele
W - zipo lakini karibu zote zinaweza kuwa negated na hazina tele ya "S" tulizo nazo
O - uoga wa watawala
T - ni sisi wenyewe (siyo watawala)

Tuache kulalamika. Tuichambue "SWOT matrix" yetu kisawasawa.

cc: Zitto John Mnyika

Walaumiwe nani kama sio viongozi? Wananchi wanejitahidi vya kutosha even though not enough, rasimu ya katiba mpya ambayo ndio maoni ya wananchi katika kuleta mabadiliko ya haki na usawa ikiwemo muungano wetu.
 
Walaumiwe nani kama sio viongozi? Wananchi wanejitahidi vya kutosha even though not enough, rasimu ya katiba mpya ambayo ndio maoni ya wananchi katika kuleta mabadiliko ya haki na usawa ikiwemo muungano wetu.
W
 
Kichwa cha uzi kinajieleza chenyewe.

Humu JF nako tume join bandwagon ya walalamikaji tu (yes, you are right....hata mimi hapa hivi niandikapo sasa - huu ni ulalamishi tu!).

Ukienda twitter huko ndiyo usiseme kabisa - ni kulialia tu!

Kinachosikitisha kuliko vyote ni ni kumsikia kiongozi mkuu wa mhimili wa mahakama (jaji mkuu) naye eti analalamika. Tafsiri hapa ni kwamba mhimili unaopaswa kusimamia haki za Watanzania nao umepanda "Walalamikaji Express Train" kuelekea I don't know where, badala ya kusimamia haki kwa vitendo. Huyu (jaji mkuu) mimi binafsi ameniumiza sana - bora angejinyamazia zake tu!

Lakini sioni aibu kukiri udhaifu wetu wa kulalamika lalamika - ni hatua muhimu kuelekea kwenye kupata ufumbuzi. Wale wachambuzi wa masuala ya kijamii, kiuchumi, kibiashara, nk nina uhakika mnakijua kitu kiitwacho SWOT.

S - tunazo tele
W - zipo lakini karibu zote zinaweza kuwa negated na hazina tele ya "S" tulizo nazo
O - uoga wa watawala
T - ni sisi wenyewe (siyo watawala)

Tuache kulalamika. Tuichambue "SWOT matrix" yetu kisawasawa.

cc: Zitto John Mnyika
Mwaka Jana Jaji Mkuu mstaafu alilalamika kuhusu kupewa maelekezo ya maamuzi ya kesi wakati alipokwenda kuonana na Rais ikulu.
 
Back
Top Bottom