bilengeh
Senior Member
- Mar 31, 2017
- 135
- 86
Nianze kwa kumshukuru mungu kuna haka katabia kakullamika kil kitu tujitahidi tuachane nayo
Hii nasema baada ya wiki kadhaa kuona watu tukilalamikia suala la matibabu ya muheshimiwa tundu lissu .
Pande zote kwa uelewa wangu ulitanguliza ufahari kuliko utu.
Sasa haya maneno maneno tuyazike rasmi natuungane katika matibabu
Hizo nibaadhi ya comment chache katika nyingi za upuuzi ambazo hazijengi.
Tuweke tofauti pembeni na kushirikina kumnusuru ndugu yetu
Note- maskini hachoki kuomba na pia maskini hakatai anachopewa
Hii nasema baada ya wiki kadhaa kuona watu tukilalamikia suala la matibabu ya muheshimiwa tundu lissu .
Pande zote kwa uelewa wangu ulitanguliza ufahari kuliko utu.
Sasa haya maneno maneno tuyazike rasmi natuungane katika matibabu
Hizo nibaadhi ya comment chache katika nyingi za upuuzi ambazo hazijengi.
Tuweke tofauti pembeni na kushirikina kumnusuru ndugu yetu
Note- maskini hachoki kuomba na pia maskini hakatai anachopewa