Watu zaidi ya 100 wapo ndani kiongozi wao anachukuliwa kutoka meza kuu wao wanapiga makofi kama vile anapelekwa kupewa cheo kumbe rumande
Eti Mungu anawaona, iko siku yataisha tu, yana mwisho hayo, hawataingia Mbinguni. Hii ndiyo misemo ya watanzania siku hizi mara wanaponyanyaswa na mfumo Imla wa awamu ya 5. Tujiulize huu ni upole au ujinga? Hii ni busara au ujinga? Huu ni uvumilivu au ujinga? Je, babu zetu wangetumia misemo mkoloni angeondoka?
Hata mbuyu ulianza kama mchicha! Wamewazuia maandamano mmekubali, wamewazuia mikutano ya hadhara mkakubali, sasa watawazuia hata mikutano ya ndani pia mtakubali
Eti Mungu anawaona, iko siku yataisha tu, yana mwisho hayo, hawataingia Mbinguni. Hii ndiyo misemo ya watanzania siku hizi mara wanaponyanyaswa na mfumo Imla wa awamu ya 5. Tujiulize huu ni upole au ujinga? Hii ni busara au ujinga? Huu ni uvumilivu au ujinga? Je, babu zetu wangetumia misemo mkoloni angeondoka?
Hata mbuyu ulianza kama mchicha! Wamewazuia maandamano mmekubali, wamewazuia mikutano ya hadhara mkakubali, sasa watawazuia hata mikutano ya ndani pia mtakubali