Watanzania hawana imani na Waziri wa Nishati January Makamba, anapaswa kuachia ngazi, asipoachia Rais amuondoe

Mosi ,Mh.January Makamba hana kosa kwa sababu zifuatazo:

-Kihistoria amejilimbikizia maadui ndani ya CCM na nje yake

-Wizara aliyopo ni "pasua kichwa"...yeyote awaye basi hajiepushi na lawama kwa sababu ya "zigo" la wizara hiyo.

Pili , January Makamba anabaki kuwa "presidential material"....hili linazidi kumtamalakisha maadui lukuki.

Mwisho kabisa ,January Makamba ni mwanasiasa....na kwenye siasa kuna "tarnishing of image" na kwa hili JM hana kosa lolote lile.

#Siempre JMT🙏
Hivi swala la mtu kuwa presdential material linazingatia utendaji kazi wa mtu au muonekano??

Makamba ni presdential material?😂
 
Mosi ,Mh.January Makamba hana kosa kwa sababu zifuatazo:

-Kihistoria amejilimbikizia maadui ndani ya CCM na nje yake

-Wizara aliyopo ni "pasua kichwa"...yeyote awaye basi hajiepushi na lawama kwa sababu ya "zigo" la wizara hiyo.

Pili , January Makamba anabaki kuwa "presidential material"....hili linazidi kumtamalakisha maadui lukuki.

Mwisho kabisa ,January Makamba ni mwanasiasa....na kwenye siasa kuna "tarnishing of image" na kwa hili JM hana kosa lolote lile.

#Siempre JMT
Kipara Mwizi wa Mitihanani ya Kidato Cha nne ndio President Material
Hii Nchi Ina Matatizo Makubwa sana nimegundua
 
Kipara Mwizi wa Mitihanani ya Kidato Cha nne ndio President Material
Hii Nchi Ina Matatizo Makubwa sana nimegundua
Ushahidi wa wizi huo huna....Kama unao basi kamfungulie mashtaka....mahakama huzioni?!!!

"Argumentum ad hominem" nalo ni tatizo kubwa kwetu vijana wa taifa letu pendwa......
 
Kila kona manug'uniko ya Watanzania ni juu ya dalili za wizara nyeti ya nishati na umeme kuwa na waziri ambae watu hawana imani nae. Tangu ateuliwe kuwa waziri basi taifa limekuwa na mauzauza tu juu ya upatikanaji wa umeme na hata uongozi na uendeshaji wa Tanesco.

Kitendo cha watanzania kutokuwa na imani na waziri huyu ni sababu tosha kabisa ya kujiuzulu au kuwajibishwa maana ni muda mfupi tu ameprove failure

Mtangukilizi wake Dkt Kalemani alisimamia vizuri Tanesco na kudhibiti ukatikaji hovyo wa umeme, pia aliwahakikishia watanzania kuwa mradi wa kuzalisha umeme wa JNHP utakuwa tayari ifikapo juni 2022.

Lakini tangu ateuliwe January Makamba kuwa waziri mradi wa JNHP umeanza kupata mauzauza, ujazaji maji kwenye mabwawa umechelewa kwa sababu zisizo za msingi, huku kukiwa na harufu ya ufisadi.

Nishati ya umeme ni muhimu sana kwa maendeleo ya taifa letu. Hii wizara haipaswi kuwa na waziri anayetiliwa shaka na umma kuwa mpiga madili.
Ulikutana na watanzania wapi?
 
Kila kona manug'uniko ya Watanzania ni juu ya dalili za wizara nyeti ya nishati na umeme kuwa na waziri ambae watu hawana imani nae. Tangu ateuliwe kuwa waziri basi taifa limekuwa na mauzauza tu juu ya upatikanaji wa umeme na hata uongozi na uendeshaji wa Tanesco.

Kitendo cha watanzania kutokuwa na imani na waziri huyu ni sababu tosha kabisa ya kujiuzulu au kuwajibishwa maana ni muda mfupi tu ameprove failure

Mtangukilizi wake Dkt Kalemani alisimamia vizuri Tanesco na kudhibiti ukatikaji hovyo wa umeme, pia aliwahakikishia watanzania kuwa mradi wa kuzalisha umeme wa JNHP utakuwa tayari ifikapo juni 2022.

Lakini tangu ateuliwe January Makamba kuwa waziri mradi wa JNHP umeanza kupata mauzauza, ujazaji maji kwenye mabwawa umechelewa kwa sababu zisizo za msingi, huku kukiwa na harufu ya ufisadi.

Nishati ya umeme ni muhimu sana kwa maendeleo ya taifa letu. Hii wizara haipaswi kuwa na waziri anayetiliwa shaka na umma kuwa mpiga madili.
[/QUOTE

Kila awamu inakuwa na mtoto pendwa…..
 
Huwa nawashangaa wanao wananga wateule wa rais na kumuondoa rais kwenye hiyo kadhia
Hii imekaa vipi wakati rais ndiyo boss wao maana yake wanachokifanya kinauungwaji mkono kutoka kwa rais na kama ni kinyume chake wasingekuwepo kwenye hizo nafasi kwanini lawama hizi zisiwe zinaelekezwa kwa rais?

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom