Watanzania hatupendani

funzadume

JF-Expert Member
Jan 28, 2010
13,559
21,040
Nimejaribu kuangalia kwa muda mrefu kuhusu suala la upendo (sio wa ku-do) baina ya wa-TZ na wa-TZ nimegundua hatuna upendo wa kweli bali ni chuki, wivu kupondana, kukatishana tamaa, kurogana, kupigana vijembe, kutothamini vya nyumbani na kusemeana vibaya

Hivi tatizo hasa ni nini? mbona wenzetu wa mataifa mengine wana upendo wao kwa wao na kwa nchi zao kuliko sisi

angalia sehemu nyingi tu utaliona ili watu wanapondea sana mastaa wetu, wanapondea timu zetu za mpira, watangazaji, bidhaa za nyumbani, miziki au movie za nyumbani, wanapondea siasa ya nyumbani, wanapondea harusi zetu, wanaponda magari ya jirani zake ni chuki kwa kwenda mbele tuna tatizo gani?
 
hili nikweli kabisa watanzania hata wakipata post kubwa hawataki kuwavuta wenzao tofauti sana na west africans na kadhalika, roho zetu masikini kabisa ndio maana maendeleo yetu nayo yanachelewa sana na tuko masikini wakati tuna utajiri mkubwa, ingekuwa tunapendana tungeoneana huruma, na wenye madaraka wangeapanga kwa faida ya watu wetu ila roho mbaya imetawala hasa wenye mamlaka. naona mwelekeo wetu ni mbaya sana amani kutoweka.
 
mmh hapana
usiwe una generalize mambo bwana....sometimes yes km mtangazaji,timu ,movie,bidhaa sjui..etc km ni mbaya lazima tu vitapondwa from what i know si vyote vnapondwa mengine yanasifiwa na wengine wanasifiwa pia sema ukifanya vbaya lazim ukweli usemwe......HAIWEZEKAN UKASIFIA TU KITU JUST BCZ KIMETOKA NYUMBANI HATA KM NII KIBAYA..mbaya zaidi uwezo wa kufanya hivyo vitu viwe vya ukweli upo..ni watu tu wanashusha ubora wa vitu na mambo kwa maslahi yao..sasa km ukitaka ufumbe tu macho na kusemayes yesssssss ni nzuri...mmh hapana .ukweli ni mzuri,kuponda ni kuzuri ili wahusika katika jambo aua kitu fulani wajirekebshe...
na wa watanzania kuwa na fitna,chuki,majungu,kurogana ..I ISSUE YA WATZ PEKE YAO...NI KILA NCHI DUNIAN AU NTAJIE NCHI MOJA ISOKUWA NA SWAGA IZO..halafu si watanzania wote wana hizo mambo ni baadhi..umenielewa >???
nawasilisha...karibu lunch ugali na lidelele!!!!!!!
 
nadhani muda wa watanzania kuonyeshana upendo wa kweli ni octoba31 inabidi tuungane kumpa SLAA kura zetu
 
mmh apana
usiwe una generalize mambo bwana....smtmes yes km mtangazaji,timu ,movie,bdhaa sjui..etc km ni mbaya lazima tu vtapondwa from wat i knw si vyote vnapondwa mengne yanasifiwa na wengne wanasifiwa pia sema ukifanya vbaya lazim ukweli usemwe......HAIWEZEKAN UKASIFIA TU KITU JUST BCZ KIMETOKA NYUMBANI ATA KM NII KIBAYA..mbaya zaid uwezo wa kufanya ivyo vitu viwe vya ukweli upo..ni watu tu wanashusha ubora wa vitu na mambo kwa maslahi yao..sasa km ukitaka ufumbe tu macho na kusemayes yesssssss i nzuri...mmh apana .ukweli ni mzuri,kuponda ni kuzuri ili wahusika katika jambo aua kitu fulani wajirekebshe...
na wa tz kuwa na fitna,chuk,majungu,kurogana ..I ISSUE S YA WATZ PEKE YAO...NI KILA NCHI DUNIAN AU NTAJIE NCHI MOJA ISOKUWA NA SWAGA IZO...afu si wa tz wote wana izo mambo ni baadhi..umenielewa >???
nawasilisha
...karibu lunch ugali na lidelele!!!!!!!
najua hapo nimekugusa kwani inaonyesha nyie ndio wadau wakuu wa kupondea wenzao, tunajua makosa yapo lakini watanzania wanaponda kwa kubomoa sio kwa kujenga mtu akijaribu kitu badala ya kupewa moyo anashambuliwa utadhani alitakiwa kuanza kama J-Lo siku ya kwanza tu hapana tujifunze kupeana support na kwenye makosa tukosoane kwa minajili ya kujenga sio unasema tu ili mradi kupondea utasikia wengine kwa mfano anasema mie Gea Habib wa Clouds FM simpendi halafu kesho unamkuta kavaa head fone anamsikiliza mimeno nje kwa nn tuko hivi?

ukifanikiwa unasemwa ukilost unasemwa ukiwa masikini ndio mpk utaongezewa na kurogwa kabisa usipate hata siku moja

Kwenye kazi hatupendani, wala hatutafutiani njia za kusonga mbele utakuta tofauti kabisa na nchi za West Afrika
 
hili nikweli kabisa watanzania hata wakipata post kubwa hawataki kuwavuta wenzao tofauti sana na west africans na kadhalika, roho zetu masikini kabisa ndio maana maendeleo yetu nayo yanachelewa sana na tuko masikini wakati tuna utajiri mkubwa, ingekuwa tunapendana tungeoneana huruma, na wenye madaraka wangeapanga kwa faida ya watu wetu ila roho mbaya imetawala hasa wenye mamlaka. naona mwelekeo wetu ni mbaya sana amani kutoweka.
tuna ile ya kuchekeana usoni tu kumbe moyoni mtu anatamani akurarue kama chui
 
tuna ile ya kuchekeana usoni tu kumbe moyoni mtu anatamani akurarue kama chui



Thanks mkuu FD hapo wala hujakosea nimekosa tu kile kithanks leo ningekuwekea maana kwa walio Europe ni kama sasa hivi wamegraduate kutoka kutopendana to kuogopana,mtu akijua wewe ni mbongo anakupita mbali utafikiri kaona mchawi aliyemuulia familia yake.
 
Thanks mkuu FD hapo wala hujakosea nimekosa tu kile kithanks leo ningekuwekea maana kwa walio Europe ni kama sasa hivi wamegraduate kutoka kutopendana to kuogopana,mtu akijua wewe ni mbongo anakupita mbali utafikiri kaona mchawi aliyemuulia familia yake.
sijui tuna matatizo gani mie nashindwa kuelewa kabisa
 
najua hapo nimekugusa kwani inaonyesha nyie ndio wadau wakuu wa kupondea wenzao, tunajua makosa yapo lakini watanzania wanaponda kwa kubomoa sio kwa kujenga mtu akijaribu kitu badala ya kupewa moyo anashambuliwa utadhani alitakiwa kuanza kama J-Lo siku ya kwanza tu hapana tujifunze kupeana support na kwenye makosa tukosoane kwa minajili ya kujenga sio unasema tu ili mradi kupondea utasikia wengine kwa mfano anasema mie Gea Habib wa Clouds FM simpendi halafu kesho unamkuta kavaa head fone anamsikiliza mimeno nje kwa nn tuko hivi?

ukifanikiwa unasemwa ukilost unasemwa ukiwa masikini ndio mpk utaongezewa na kurogwa kabisa usipate hata siku moja

Kwenye kazi hatupendani, wala hatutafutiani njia za kusonga mbele utakuta tofauti kabisa na nchi za West Afrika
hahaha!haha!!!! sawasawa ..gea habibu siyo?
sssaaaaaaaaaaaaaaawa!!!!!!!
sna cha kubisha ila tu skubalian na ilo jambo narudia tena...I TABIA AU KASUMBA SI YA WATANZANIA PEKE YAO ....cz kuna wengne wa tz lakin hawana tabia i afu kuna wengine ambao si watanzania WANA I TABIA..KWA IYO KAKA I NI TABIA YA MTU BINAFSI HAIJALISH MKENYA,MTZ, MMAREKAN,MFARANSA AU MWARABU...ny way tukubali kutokukubaliana ktk ili...!!!!!
av a nce day
 
Nimejaribu kuangalia kwa muda mrefu kuhusu suala la upendo (sio wa ku-do) baina ya wa-TZ na wa-TZ nimegundua hatuna upendo wa kweli bali ni chuki, wivu kupondana, kukatishana tamaa, kurogana, kupigana vijembe, kutothamini vya nyumbani na kusemeana vibaya

Hivi tatizo hasa ni nini? mbona wenzetu wa mataifa mengine wana upendo wao kwa wao na kwa nchi zao kuliko sisi

angalia sehemu nyingi tu utaliona ili watu wanapondea sana mastaa wetu, wanapondea timu zetu za mpira, watangazaji, bidhaa za nyumbani, miziki au movie za nyumbani, wanapondea siasa ya nyumbani, wanapondea harusi zetu, wanaponda magari ya jirani zake ni chuki kwa kwenda mbele tuna tatizo gani?

Ni chuki na roho na husda mbaya ndizo zinazotusumbua. Kwa kifupi ni umasikini wa kukosa ukarimu ndio tatizo letu wabongo.
Kinachotufanya tuchukie bidhaa/kazi za nyumbani ni ile kasumba ya kila kitu kizuri kinatoka ulaya. Unazikumbuka kauri hizi:
-viazi ulaya
-mapapai ya kizungu
-inzi wa kizungu
-mapera ya kizungu
-ndizi za kizungu


Ni kama vile French Assimilation Policy ilotawala kule afrika magharibi. Enzi hizo kila kitu kizuri ni cha ufaransa.
Juzi juzi mtanzania mwenzetu katangaza kuinunua timu ya liverpool wabongo badala ya kupongeza, wanaponda
 
mmh hapana
usiwe una generalize mambo bwana....sometimes yes km mtangazaji,timu ,movie,bidhaa sjui..etc km ni mbaya lazima tu vitapondwa from what i know si vyote vnapondwa mengine yanasifiwa na wengine wanasifiwa pia sema ukifanya vbaya lazim ukweli usemwe......HAIWEZEKAN UKASIFIA TU KITU JUST BCZ KIMETOKA NYUMBANI HATA KM NII KIBAYA..mbaya zaidi uwezo wa kufanya hivyo vitu viwe vya ukweli upo..ni watu tu wanashusha ubora wa vitu na mambo kwa maslahi yao..sasa km ukitaka ufumbe tu macho na kusemayes yesssssss ni nzuri...mmh hapana .ukweli ni mzuri,kuponda ni kuzuri ili wahusika katika jambo aua kitu fulani wajirekebshe...
na wa watanzania kuwa na fitna,chuki,majungu,kurogana ..I ISSUE YA WATZ PEKE YAO...NI KILA NCHI DUNIAN AU NTAJIE NCHI MOJA ISOKUWA NA SWAGA IZO..halafu si watanzania wote wana hizo mambo ni baadhi..umenielewa >???
nawasilisha...karibu lunch ugali na lidelele!!!!!!!

sikubaliani na wewe, Ukweli ni utabaki palepale kuwa wantanzania kwa ujumla ni watu tusiokuwa na upendo wa sisi kwa sisi,chuki,wivu na kufurahi unapoona mwenzio anaharibikiwa,kutakuthamini vya wenzako hata kama ni vizuri.....nimeona jinsi watz walivyo si ndani ya nchi au nje ya nchi.
kweli tuna sio wote ila sio siri tuna roho za ajabu sana.
 
Back
Top Bottom