funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,559
- 21,040
Nimejaribu kuangalia kwa muda mrefu kuhusu suala la upendo (sio wa ku-do) baina ya wa-TZ na wa-TZ nimegundua hatuna upendo wa kweli bali ni chuki, wivu kupondana, kukatishana tamaa, kurogana, kupigana vijembe, kutothamini vya nyumbani na kusemeana vibaya
Hivi tatizo hasa ni nini? mbona wenzetu wa mataifa mengine wana upendo wao kwa wao na kwa nchi zao kuliko sisi
angalia sehemu nyingi tu utaliona ili watu wanapondea sana mastaa wetu, wanapondea timu zetu za mpira, watangazaji, bidhaa za nyumbani, miziki au movie za nyumbani, wanapondea siasa ya nyumbani, wanapondea harusi zetu, wanaponda magari ya jirani zake ni chuki kwa kwenda mbele tuna tatizo gani?
Hivi tatizo hasa ni nini? mbona wenzetu wa mataifa mengine wana upendo wao kwa wao na kwa nchi zao kuliko sisi
angalia sehemu nyingi tu utaliona ili watu wanapondea sana mastaa wetu, wanapondea timu zetu za mpira, watangazaji, bidhaa za nyumbani, miziki au movie za nyumbani, wanapondea siasa ya nyumbani, wanapondea harusi zetu, wanaponda magari ya jirani zake ni chuki kwa kwenda mbele tuna tatizo gani?