Benaya-
JF-Expert Member
- Jul 31, 2019
- 4,417
- 7,608
YemNimewekeza zaidi ya mil 80.
YemNimewekeza zaidi ya mil 80.
Yap bado nazi mine!Bado unaendelea kuzi-mine?
Laah. Bado unaamini kwamba soko litapanda tu miaka ijayo?Nimewekeza zaidi ya mil 80.
Mkuu hii YEM mbona haipo tena kwenye market ya cryptocurrency.
Aliyenunua siku unaandika hii post inawezekana Sasa ana faida kama 200%Cryptocurrency kweli inahitaji uvumilivu. Aliye nunua coin yoyote kati ya hizi hakuna faida yoyote mpaka muda huu
Kaburi hili, limefukuliwaAliyenunua siku unaandika hii post inawezekana Sasa ana faida kama 200%
Zote hizo coin 🪙 zimeshuka thamaniAliyenunua siku unaandika hii post inawezekana Sasa ana faida kama 200%
SIO KWELI.Zote hizo coin 🪙 zimeshuka thamani
1. Matic Polygon (1.3 usd per coin)SIO KWELI.
Bei ya Bitcoin on August 2022 ilikuwa ikicheza kwenye $20K, na sasahivi price ya Bitcoin ni zaidi ya $40K kwahiyo ni kweli kama kuna mtu alinunua hapo August 2022 akazisahau kidogo basi leo pesa yake imejidouble tayari. That means kama uliwekeza Tsh 100M sasahivi una 200M+, kama uliweka buku basi una buku mbili.
View attachment 2864600
1. Matic Polygon (1.3 usd per coin)
2. Enjin (1.7 usd per coin)
3. Cardano (2.22usd per coin)
4. Fantom (2.22usd per coin)
5. Zilliqa (0.1 usd per coin)
Mtoa mada alitushawishi tuwekeze kwenye hizi sarafu embu angalia na hizi