Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,202
- 42,061
Wachaagaaa...
Wametukamata pabaya
ukikua utaacha!
Wachaagaaa...
Wametukamata pabaya
Jiulize chama nini?
Je ni majengo au wananchi?
Chama ni kile chakula cha watoto kinauzwa kwenye maduka yote ya wachagga.
Avatar yako inawakilisha mawazo yako pole mkuuKauli mbiu ya kwanza ya chama
Kauli mbiu ya kwanza zilizopitishwa na chama zilionyesha nia ya msingi ya kutumikia wananchi. Nazo ni:
1. CHADEMA .................... VEMA! 2. MWANANCHI .................. NAMBARI WANI! 3. CHADEMA ................... NAMBA TWO! 4. VIJANA .................. TAIFA LA LEO! 5. KINAMAMA .................. WALEZI! 6. WAZEE ................... DHAMANA!
Watanzania hapa sijawaelewa Chadema wana maana gani.
Kauli mbiu hizi ziliwekwa kwa msisitizo kuwa chama chetu kinaheshimu kuwa wananchi ndio namba moja na ndio wamiliki wa chama. Ikiwa na nia ya kupingana na kauli mbiu ya CCM ya kujiita nambari wani. Chama kikaanza kazi kwa kasi, kikiwa kinaonekana kuwa na sura ya kipekee. Toka enzi hizo chama kilijijengea heshima ya kuwa chama cha ustaarabu. Heshima ambayo hadi leo CHADEMA imeitunza.
kweli ww ni mchuzi wa bata!
karibu tunywe gahawa na vigwangala
Mchuzi wa Kunguru!
Kauli mbiu ya kwanza ya chama
Kauli mbiu ya kwanza zilizopitishwa na chama zilionyesha nia ya msingi ya kutumikia wananchi. Nazo ni:
1. CHADEMA .................... VEMA! 2. MWANANCHI .................. NAMBARI WANI! 3. CHADEMA ................... NAMBA TWO! 4. VIJANA .................. TAIFA LA LEO! 5. KINAMAMA .................. WALEZI! 6. WAZEE ................... DHAMANA!
Watanzania hapa SIJAWAELEWA Chadema wana maana gani.
Kauli mbiu hizi ziliwekwa kwa msisitizo kuwa chama chetu kinaheshimu kuwa wananchi ndio namba moja na ndio wamiliki wa chama. Ikiwa na nia ya kupingana na kauli mbiu ya CCM ya kujiita nambari wani. Chama kikaanza kazi kwa kasi, kikiwa kinaonekana kuwa na sura ya kipekee. Toka enzi hizo chama kilijijengea heshima ya kuwa chama cha ustaarabu. Heshima ambayo hadi leo CHADEMA imeitunza.
Masaburi!