Emashilla
Senior Member
- May 24, 2012
- 138
- 26
Nini maoni yako juu ya hali ilivyo ndani ya CCM?
Tafakari yafuatayo:
1. Upo mmomonyoko mkubwa wa maadili;
2. Hakina waadilifu;
3. Imejaa rushwa;
4. Biashara mpya ya kura imeshamiri;
5. Chama cha nyufa, mipasuko, migawanyiko na makundi;
6. Siku za mwisho Upendo umepoa wao kwa wao na nje;
7. Wanadai wenzao(Chadema) wanawapiga madongo;
8. Hawafanyi kazi vizuri kwa umma;
9. "Wenzetu(CHADEMA) wametuzidi maarifa" Mbinu ni kuwaiga wanachofanya
10. Chama cha Mapinduzi kimebomoka sana.
11. Jamii imepoteza imani ingawa wana CCM wanajifanya hawaoni;
12. Kupanga panga safu kumeidhoofisha zaidi;
13. Chama cha Mapinduzi kina mizengwe na upendeleo kwa baadhi ya watu;
14. Viongozi wake hawajali matatizo ya watu kibao;
15. CCM ni kichekesho mbele ya jamii ya watanzania;
16. CCM ni vigumu kushinda 2014/2015 bali kushindwa ni kukubwa sana
17. Misukosuko ya ndani ni mikubwa;
18. Kuna uzembe na ubinafsi;
19. CCM Wanasemwa kila mahali. Sasa ni wakati wa kujibu mapigo;
20. CCM hakina mvuto wala uhalali wa kuongoza nchi ya Tanzania.
Mmoja 'wao' alipaza sauti,akasema; "Je! Tutapona kwa namna hii?"
Tafakari yafuatayo:
1. Upo mmomonyoko mkubwa wa maadili;
2. Hakina waadilifu;
3. Imejaa rushwa;
4. Biashara mpya ya kura imeshamiri;
5. Chama cha nyufa, mipasuko, migawanyiko na makundi;
6. Siku za mwisho Upendo umepoa wao kwa wao na nje;
7. Wanadai wenzao(Chadema) wanawapiga madongo;
8. Hawafanyi kazi vizuri kwa umma;
9. "Wenzetu(CHADEMA) wametuzidi maarifa" Mbinu ni kuwaiga wanachofanya
10. Chama cha Mapinduzi kimebomoka sana.
11. Jamii imepoteza imani ingawa wana CCM wanajifanya hawaoni;
12. Kupanga panga safu kumeidhoofisha zaidi;
13. Chama cha Mapinduzi kina mizengwe na upendeleo kwa baadhi ya watu;
14. Viongozi wake hawajali matatizo ya watu kibao;
15. CCM ni kichekesho mbele ya jamii ya watanzania;
16. CCM ni vigumu kushinda 2014/2015 bali kushindwa ni kukubwa sana
17. Misukosuko ya ndani ni mikubwa;
18. Kuna uzembe na ubinafsi;
19. CCM Wanasemwa kila mahali. Sasa ni wakati wa kujibu mapigo;
20. CCM hakina mvuto wala uhalali wa kuongoza nchi ya Tanzania.
Mmoja 'wao' alipaza sauti,akasema; "Je! Tutapona kwa namna hii?"