Utamaduni
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 1,279
- 597
Oooh! My God, naona JK anapata kinywaji kwenye kiti kirefu na sisi tuko juu ya mwamba mkuuuubwa tunapata joto ya JIWE...., hata simba akimaliza mfupa wake wa EPA anaweza akatula na sisi pia labda awe ameshiba.Ila mzee wetu angekuwepo wangefilisiwa, badala ya kuwashughulikia tunashughulikia Zanzibar si nchi, upo hapo?
--------------------------------------------------------------------------------
JK: "Watanzania eh"
WTZ: "Eh"
JK: "Mimi Rais wenu!"
WTZ: "eh!"
JK: "Sina nguvu tena!"
WTZ: "Eh"
JK: "Ya kukamata mafisadi"
WTZ: "Eh"
JK: "Mafisadi ni wajanja"
WTZ: "Eh"
JK: "Wamekomba Benki Kuu" Watoto wanaendelea kuitikia "Eh" kwa shauku!
JK: "Wamelangua na Rada"
"Wameiba Meremeta"
"Wamechota nayo EPA"
"Na makampuni mengine"
"Sasa kimbieni!
Watanzania kila mmoja anavyojua anaanza kutimkia kwake na kufanya mambo yake kuokoa maisha yake na ya familia yake. Kwa hakika hivyo ndivyo nilivyomuona Rais Kikwete.
Masikini Tanzania.... ..aliyekua anaihurumia na kuipenda ni Nyerere tu.......ambaye sasa hayupo tena. Waliobaki ni CCM tu, yaani Chukua Chako Mapema! Hivi wewe Rais mzima utakosaje nguvu yakuwakamata mafisadi na kuwashughulikia kama huli nao.....!!!??
--------------------------------------------------------------------------------
JK: "Watanzania eh"
WTZ: "Eh"
JK: "Mimi Rais wenu!"
WTZ: "eh!"
JK: "Sina nguvu tena!"
WTZ: "Eh"
JK: "Ya kukamata mafisadi"
WTZ: "Eh"
JK: "Mafisadi ni wajanja"
WTZ: "Eh"
JK: "Wamekomba Benki Kuu" Watoto wanaendelea kuitikia "Eh" kwa shauku!
JK: "Wamelangua na Rada"
"Wameiba Meremeta"
"Wamechota nayo EPA"
"Na makampuni mengine"
"Sasa kimbieni!
Watanzania kila mmoja anavyojua anaanza kutimkia kwake na kufanya mambo yake kuokoa maisha yake na ya familia yake. Kwa hakika hivyo ndivyo nilivyomuona Rais Kikwete.
Masikini Tanzania.... ..aliyekua anaihurumia na kuipenda ni Nyerere tu.......ambaye sasa hayupo tena. Waliobaki ni CCM tu, yaani Chukua Chako Mapema! Hivi wewe Rais mzima utakosaje nguvu yakuwakamata mafisadi na kuwashughulikia kama huli nao.....!!!??