Watanzania bhana yaani kwa Benchi hili la Ufundi lenye Watu 'dhaifu' kama Shedrack Nsajigwa, Ivo Mapunda na Nadir Haroub mliamini Kombe la Dunia mpo?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Apr 2, 2015
8,011
16,748
Watajwa wote hapa juu hawana Mafanikio ya Kujivunia na Wachezaji kuifunza kutoka Kwao cha Kushangaza eti na Wao ni sehemu ya Benchi la Ufundi la Taifa Stars kwanini Congo DR wasiupige mwingi na Kutufunga Goli Tatu nzuri.
 
Nyie kabla ya match mlikuwa mnasema tunafuz tunakikos kizur tulipata sare kwao ila baada ya match mnaanza oooh Congo timu kubwa blaa blaa bench la ufund
 
Watajwa wote hapa juu hawana Mafanikio ya Kujivunia na Wachezaji kuifunza kutoka Kwao cha Kushangaza eti na Wao ni sehemu ya Benchi la Ufundi la Taifa Stars kwanini Congo DR wasiupige mwingi na Kutufunga Goli Tatu nzuri.
Hivi hii nchi haina mabeki wengine wa pembeni zaidi ya Shomari na Mohamed Hussein?
 
Hivi hii nchi haina mabeki wengine wa pembeni zaidi ya Shomari na Mohamed Hussein?
Hivi ni nchi gani au Kocha gani duniani mwenye Akili timamu anaweza Kumpanga Beki Mbilikimo Dickson Job kucheza namba Nne na Beki anayetumia Nguvu na Upumbavu mwingi kuliko Akili kama Bakari Nondo Mwamnyeto kuwa Beki wa mwisho namba Tano?
 
Hivi ni nchi gani au Kocha gani duniani mwenye Akili timamu anaweza Kumpanga Beki Mbilikimo Dickson Job kucheza namba Nne na Beki anayetumia Nguvu na Upumbavu mwingi kuliko Akili kama Bakari Nondo Mwamnyeto kuwa Beki wa mwisho namba Tano?
Ulitaka awe nani?
 
Hao jamaa mnawalaumu bure, hiyo timu hata kama ingepewa Guardiola, Klopp na Moyes wawe kwenye benchi la ufundi jointly lakini bado tu wangefungwa kwa sababu hatuna wachezaji wenye vipaji vya asili vya kusakata kabumbu. That's the fact.
 
Watajwa wote hapa juu hawana Mafanikio ya Kujivunia na Wachezaji kuifunza kutoka Kwao cha Kushangaza eti na Wao ni sehemu ya Benchi la Ufundi la Taifa Stars kwanini Congo DR wasiupige mwingi na Kutufunga Goli Tatu nzuri.

Wacha tumalizane na Sirro, Kingai, Mahita, Jumanne na Msemwa kwanza Qatar ina maana kama Taifa tu wamoja
 
Hivi hii nchi haina mabeki wengine wa pembeni zaidi ya Shomari na Mohamed Hussein?

Hao wachezaji wana experience kubwa na wamefikia mafanikio ya kufika robo fainali CAFcl kwa misimu miwili.

Sasa ukisema hawafai basi tuambie ni kina nani walistahili hizo nafasi na wakaachwa..!???
 
Poulsen ameangushwa na bench la ufundi kwani mtu Kama shedrack nsajigwa. anaonekana akili za mpira Hana ila alikuwa anatumia maguvu tu, unawaacha watu Kama mwl wa cambiaso maxxime, kocha Serengeti QUeens,
Kim poulsen abaki na timu ya Taifa kwa muda mrefu ili atengeneze philosophy ya timu na awachague wasaidizi wake mwenyewe.
Kocha asiingiliwe kuchagua wachezaji kuunda timu ya Taifa.
Wizara ya utamaduni ,Sanaa na michezo ijenge academy Kila mkoa ili kukuza na kuibua vipaji
 
Back
Top Bottom