nanga mstafu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 381
- 648
baada ya dr MENGI kufa kapokea sifa nyingi na appreciation za kutosha na tumejua mambo yake mengi ambapo akiwa hai wanaojitapa kuwa wanamjua walikua hawajitokezi na kuyasema, huu ni u.k, kwa nn msimsifie mtu akiwa hai mnangoja hadi afe?