Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Silaha mojawapo ya watu waliofilisika kihoja au walioshindwa kutimiza wajibu wao ni kutumia propaganda za kidini na kikabila ili kuvuruga mijadala, kuhamisha mijadala,kuficha udhaifu wao,kuwagawa watu,n.k.
Inasikitisha sana hata hapa JF baadhi ya wenztu wamenasa katika huu mtego na tukiendelee kuwa wajinga kiasi hiki kwa hakika hawa jamaa watatutawala kwa muda mrefu sana kiakili,n.k.
Ningekuwa na mamlaka humu ningekuwa nafuta hoja za udini na ukabila katika mada zote zisizohusu udini na ukabila(I wish I could be moderator).
Inasikitisha tunavyotekwa akili na kuacha hoja za msingi na kuanza kujadili hoja kwa mtazamo wa udini au ukabila.
IQ zetu baadhi yetu ziko chini sana humu na ndio maana hawa watu wanafanikiwa kututawala.
Mtu kwa makusudi anachomekea udini /ukabila na sisi badala ya kumpuuza tunaanza kujadili hoja kwa misingi ya udini au ukabila na matokeo yake hoja ya msingi inakufa na yeye anakuwa amefanikiwa.
So sad!!
Inasikitisha sana hata hapa JF baadhi ya wenztu wamenasa katika huu mtego na tukiendelee kuwa wajinga kiasi hiki kwa hakika hawa jamaa watatutawala kwa muda mrefu sana kiakili,n.k.
Ningekuwa na mamlaka humu ningekuwa nafuta hoja za udini na ukabila katika mada zote zisizohusu udini na ukabila(I wish I could be moderator).
Inasikitisha tunavyotekwa akili na kuacha hoja za msingi na kuanza kujadili hoja kwa mtazamo wa udini au ukabila.
IQ zetu baadhi yetu ziko chini sana humu na ndio maana hawa watu wanafanikiwa kututawala.
Mtu kwa makusudi anachomekea udini /ukabila na sisi badala ya kumpuuza tunaanza kujadili hoja kwa misingi ya udini au ukabila na matokeo yake hoja ya msingi inakufa na yeye anakuwa amefanikiwa.
So sad!!