Novatus
JF-Expert Member
- Jul 28, 2007
- 330
- 37
Napenda kuwajulisha kuwa kizazi kipya kimeamka kinataka mabadiliko. Anzia kwenye kura za maoni za CCM vijana ndio waliowabwaga vikongwe, Ukija sasa kwenye uchaguzi wenyewe wote mmshuhudia vijana wakivyofanya. wengi wa wabunge wateule wa Chadema ni vijana.
hii ni nguvu ya umma. Na nimwanzo tu. CCM walilewa madaraka hadi wabunge kujitangazia kuwa mjimbo ni mali yao. wakadiriki kuwaita wenzao wanaotaka kugombea mavuvuzela. wengi tumeshuhudia pesa zilivyotumika ili kushinda bahati nzuri vijana wameamka wamefanya kweli kuwa fedha ni adui ya haki. vijana wa chadema hawakuwa na pesa ila wamepita katika sehemu ambazo watanzania wameamka kwa sasa liwe fundisho kwa wengine waache kupokea shs 2000 na kanga ili kuendelea kututesa na mafisadi.
hii ni nguvu ya umma. Na nimwanzo tu. CCM walilewa madaraka hadi wabunge kujitangazia kuwa mjimbo ni mali yao. wakadiriki kuwaita wenzao wanaotaka kugombea mavuvuzela. wengi tumeshuhudia pesa zilivyotumika ili kushinda bahati nzuri vijana wameamka wamefanya kweli kuwa fedha ni adui ya haki. vijana wa chadema hawakuwa na pesa ila wamepita katika sehemu ambazo watanzania wameamka kwa sasa liwe fundisho kwa wengine waache kupokea shs 2000 na kanga ili kuendelea kututesa na mafisadi.