Mugabe one
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 2,327
- 1,681
Ndugu wanaJF kuna watanzania wenzetu wamekatwa nchini msumbiji wakituhumiwa kwa makosa mbali mbali yakiwemo ya uwindaji haramu na kuingia nyumba ya JIRANI bila kibali.
Kwa jambo hilo tunaomba mlioko Karibu na Raisi mpaze sauti ili kushinikiza waachiwe huru warudishwe nyumbani kwani familia zao zinaendelea kuteseka huku nchini,
Pia mambo ya MTU kuwekwa mahabusu siyo kuzuri unaweza utengeneza njia kifo cha shortcut kutoka na mazingira mabovu ya mahabusu.
Kwa jambo hilo tunaomba mlioko Karibu na Raisi mpaze sauti ili kushinikiza waachiwe huru warudishwe nyumbani kwani familia zao zinaendelea kuteseka huku nchini,
Pia mambo ya MTU kuwekwa mahabusu siyo kuzuri unaweza utengeneza njia kifo cha shortcut kutoka na mazingira mabovu ya mahabusu.