Katika kufuatilia mambo mbalimbali yanavyoendelea hapa nchini nimegundua kuwa wananchi wengi wanapata habari zisizo sahihi. Unaanza shule kwa kudanganya umri. Unakwenda sekondari kwa kuiba mtihani. Unakwenda chuo kikuu kwa kuiba mtihani. Unapata digrii kwa kuhonga profesa. Unapata kazi kwa rushwa. Utafanya kazi kumfurahisha aliyekuajiri kwa rushwa. Unataraji nini kwa watu kama hawa ambao niwengi. Ukianza na waandishi wa habari. Ukiona habari live kwa Tv na habari ya gazeti tofauti. Habari nzima inachakachuliwa. Je tutafika.