Watanzani wengi wamechakachuliwa

Zhu

Senior Member
Sep 26, 2010
184
24
Katika kufuatilia mambo mbalimbali yanavyoendelea hapa nchini nimegundua kuwa wananchi wengi wanapata habari zisizo sahihi. Unaanza shule kwa kudanganya umri. Unakwenda sekondari kwa kuiba mtihani. Unakwenda chuo kikuu kwa kuiba mtihani. Unapata digrii kwa kuhonga profesa. Unapata kazi kwa rushwa. Utafanya kazi kumfurahisha aliyekuajiri kwa rushwa. Unataraji nini kwa watu kama hawa ambao niwengi. Ukianza na waandishi wa habari. Ukiona habari live kwa Tv na habari ya gazeti tofauti. Habari nzima inachakachuliwa. Je tutafika.
 
I need responce on the motion on how people wanavyochakachuliwa.
 
Inasikitisha ila ndipo tulipo sasa na ukizoea tabia fulani ni vigumu kuiacha tupende tusipende Tanzania ishakuwa nchi ya wachakachuaji..... kama vile watu wanavyoisema Nigeria ni nchi ya matapeli
 
Zhu ni nyinyi generation ya sasa ndiyo wenye matatizo hayo. Enzi yetu hatukuwa na wazo la kununua mitihani ya sekondari au high school, chuo kikuu tulikuwa tunajiunga kwa qualifications zetu na degree tulikuwa tunapata kihalali kabisa. Ukifeli ulikuwa unakwenda na maji hata kama uko mwaka wa mwisho.
 
We have been brainwashed that we have allowed someone to think on or behalf!
 
Katika kufuatilia mambo mbalimbali yanavyoendelea hapa nchini nimegundua kuwa wananchi wengi wanapata habari zisizo sahihi. Unaanza shule kwa kudanganya umri. Unakwenda sekondari kwa kuiba mtihani. Unakwenda chuo kikuu kwa kuiba mtihani. Unapata digrii kwa kuhonga profesa. Unapata kazi kwa rushwa. Utafanya kazi kumfurahisha aliyekuajiri kwa rushwa. Unataraji nini kwa watu kama hawa ambao niwengi. Ukianza na waandishi wa habari. Ukiona habari live kwa Tv na habari ya gazeti tofauti. Habari nzima inachakachuliwa. Je tutafika.



Mambo ya Examination techniques
 
tuko pabaya unashangahayo watu wanajichakachuwa hadi afya zao anaandikiwa dawa nadakitali doz ananunuwa nusu
 
Back
Top Bottom