Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
Kesho kutwa kutakuwa na hotuba ya mambo ya nje , kwa niaba ya mhe,Wenje waziri kivuli , anaomba kupata maoni ya watanzania muishio nje ya nchi kuhusu matatizo ya balozi zetu mbalimbali .
tumeni maoni hayo kwenda info@chadema.or.tz .
Nawatakia kazi njema , na moods naomba muiache hii kwa muda kwani ni kwa nia ya kujenga na kusaidia wenzetu ili changamoto wanazokutana nazo ziweze kufanyiwa kazi kikamilifu na ziweze kuibuliwa .
Pia semeni kama balozi zetu huko zinafanya kazi na kuwajali watanzania ama wao ni kuwajali wawekezaji tuu ili tuweze kuziibua na pia tupani mifano hai.
tumeni maoni hayo kwenda info@chadema.or.tz .
Nawatakia kazi njema , na moods naomba muiache hii kwa muda kwani ni kwa nia ya kujenga na kusaidia wenzetu ili changamoto wanazokutana nazo ziweze kufanyiwa kazi kikamilifu na ziweze kuibuliwa .
Pia semeni kama balozi zetu huko zinafanya kazi na kuwajali watanzania ama wao ni kuwajali wawekezaji tuu ili tuweze kuziibua na pia tupani mifano hai.